Recent content by Jofeya

  1. J

    Nilimsomesha mpenzi wangu na leo kaniacha kwenye mataa!

    Mkuu kasomea ITA au IFM...kama n ITA kuna wazee wa TRA wana hela zao za kutosha..huwa wadada hawana ujanja..ila pole kwa majanga
  2. J

    Picha: Mama Lowassa afanya kufuru Iringa Mjini

    Hongera Mama...ww n Mama Wa kuigwa
  3. J

    CHADEMA asilia mko wapi? Mbona Lowassa anaongozana na wageni wenzake tu?

    hujielewi ww...unaonyesha jinsi ambavyo hukulelewa vizuri na wazazi wako...wewe n wa kupuuzwa!
  4. J

    CHADEMA asilia mko wapi? Mbona Lowassa anaongozana na wageni wenzake tu?

    Nifah..mm si mtu Wa lumumba..bado kijana mdogo..ila lazima tuwe wakweli ili kuokoa chama.
  5. J

    CHADEMA asilia mko wapi? Mbona Lowassa anaongozana na wageni wenzake tu?

    Wanajamvi... Mimi ni mpenzi Wa chama cha chadema ila kinachoonekana kwa Sasa n kwamba timu ya campaign ya Lowassa ni akina Sumaye, Masha na wengine. Sasa najiulizaa wapi akina LISSU,MNYIKA,MBOWE?. Kiukweli hawa ndio walioleta hamasa katika chama, sasa Leo hawasikiki, hamuoni mnapoteza uhalisia...
  6. J

    FULL TEXT: Hotuba ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Agosti 29, 2015

    Sisi tunataka utendaji..hotuba ndefu ya nn?...kujenga hoja?? Umesikia ikulu kuna debates kule??? tunataka mtu anayeweza simamia mali za nchi ili kupunguza umaskini...
  7. J

    Serekali kwa nn mnawalipa mishahara duni wafanyakazi wa TRA?

    olesaidimu Toa hoja...una huna hoja WW ndio waweza kuwa na kichaa
  8. J

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Chanel zp wataonyesha live?
  9. J

    Mh. John Magufuli aiteka Tukuyu na Rungwe

    Ndani ya mbeya sauti ya magufuli imekataa kutoka kabisa..hii n wk ya kwanza tu..
  10. J

    Serekali kwa nn mnawalipa mishahara duni wafanyakazi wa TRA?

    Mishahara duni yaani midogo sana...ww hujui ugumu wa kukusanya kodi..wale jamaa wa tra wanasumbuana sana na wafanyabiashara..nadhan unajua hakuna mtu anayependa kulipa kodi
  11. J

    Natafuta kazi: Nina shahada ya Ukaguzi na Uhasibu

    Mkuu hiyo shahada ya ukaguzi(auditor)umesoma wapi maana bado tz hawajatoa hiyo coz!
  12. J

    Serekali kwa nn mnawalipa mishahara duni wafanyakazi wa TRA?

    Serekali.. Ni kwann mnawalipa malipo duni hv wafanyakazi wa TRA yaan mwezi huu wa saba karibu sector zote zimeongezewa mishahara lakin TRA hawajaongeza mishahara.Mnajua wazi kazi ya kukusanya kodi n ngumu na ina vishawishi lakin hampandishi mishahara! Tunaomba muiangalie hii authority kwenye...
  13. J

    Maandalizi ya mkutano wa UKAWA/CHADEMA uwanja wa Jangwani

    Kijana namaanisha kibaka
Back
Top Bottom