Wanajamvi...
Mimi ni mpenzi Wa chama cha chadema ila kinachoonekana kwa Sasa n kwamba timu ya campaign ya Lowassa ni akina Sumaye, Masha na wengine. Sasa najiulizaa wapi akina LISSU,MNYIKA,MBOWE?. Kiukweli hawa ndio walioleta hamasa katika chama, sasa Leo hawasikiki, hamuoni mnapoteza uhalisia...
Sisi tunataka utendaji..hotuba ndefu ya nn?...kujenga hoja?? Umesikia ikulu kuna debates kule??? tunataka mtu anayeweza simamia mali za nchi ili kupunguza umaskini...
Mishahara duni yaani midogo sana...ww hujui ugumu wa kukusanya kodi..wale jamaa wa tra wanasumbuana sana na wafanyabiashara..nadhan unajua hakuna mtu anayependa kulipa kodi
Serekali..
Ni kwann mnawalipa malipo duni hv wafanyakazi wa TRA yaan mwezi huu wa saba karibu sector zote zimeongezewa mishahara lakin TRA hawajaongeza mishahara.Mnajua wazi kazi ya kukusanya kodi n ngumu na ina vishawishi lakin hampandishi mishahara! Tunaomba muiangalie hii authority kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.