Sasa huu ni ufunguzi wa kampeni au jumuiko la vijana na muziki wao? wazee kupoteza muda kushangilia diamond yamoto band? Sera je? Ahadi zote JK alizimaliza ndio sababu.
Dr. Slaa misimamo ya kihafidhina kiasi hicho haitusaidii kushinda uchaguzi. Kinachohitajika ni ushindi dhidi ya adui yetu magamba. Dr. Slaa soma alama za nyakati mafuriko yatakupitia pembeni.!
Tatizo ni nini? Huyu mtu katoka CCM kimya kama kawaida yake bila kujibu mashambulizi. Kea nini nyie watu msielekeze nguvu zenu kunasdi sera za chama chenu? Midahalo itakuepo itumieni kumuuliza yote mnayomtuhumu. Tuache majungu.
Nakubaliana nawe asilimia mia moja! Muda wa mabadiliko ukifika hakuna binadamu aliye chini ya jua atazuia. Si Magufuli wa malaika atazuia! Ni kama Oxygen ukiikosa uhai unatoweka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.