Kwani akienda
Kwanii akienda kutembelea mochwari na kuona miili ya vijana wa kitanganyika waliokufa ndio atawafufua au nini kitaendelea cha maana? Kwa kifupi watanzania tushakuwa wajinga wajinga ndio mssns viongozi wanatuendesha sana.
Polepole ni mnafiki na sio wa kuaminika. Haya yanayoendelea sasa ni zao la awamu ya tano chini ya Rais Magufuli ambapo polepole alikuwa kiongozi wa ngazi za juu huko ccm na sometimes walitoa maamuzi yao kama viongozi pasi na kushirikisha wanachama wa ccm.
Haya anayoyasema leo polepole yeye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.