Recent content by joemjenzi

  1. J

    Mwenye ushahidi wa dhahiri juu ya ufisadi wa Lowassa aweke hapa hadharani! Tuache porojo!

    Ni kwamba mwili wa lowassa umejaa maswali ya wizi kila mahali ukimtizama tu. Sijui ushahidi ni upi unaotafuta wewe. La sivyo nawe ni mwizi usiyejua kuwa mwizi kama lowassa.
  2. J

    Nani Anayetoa Idea ya haya madeal?

    Muasisi wa hizi deal ni Rostam Aziz
  3. J

    Tulioishi na kusomea Tanga na viunga vyake kwa ujumla

    mambo yote usagara jamani, nikosoe kama unaweza
  4. J

    Tulioishi na kusomea Tanga na viunga vyake kwa ujumla

    Usagara bana, je ni nani aliyebahatika kufundishwa Headmaster mtaalam wa physics kama MUDDY?
  5. J

    CHADEMA walishana yamini, kwa udi ama uvumba, maandamano kupigwa kona zote nchi

    . Mjinga mkubwa wewe, na aliyekutuma kwa mtazamo huu, wote mtafia mahabusu ya CCM kifikra ya akili ndogo.....
  6. J

    Mikutano zaidi ya 20 ya CCM, Nape hakuna siku hajaitaja CHADEMA

    Kijana NAPEEE! kavimba kanenepa wakati chama (CCM) ipo katikati ya matatizo, inaonyesha ni jinsi gani hela zetu zivyowaneemesha MA-CCM.
  7. J

    LOLIONDO: Waziri Mkuu Pinda na msafara wa magari 38

    Hivi Pinda kweli ni mtatuzi mzuri wa migogoro au ndo anaenda kuongeza chunvi kidondani! Hivi pinda ni timamu kweli????? Amefanya na ameamua mengi yanayofanana na maswali hapo juu.
  8. J

    LOLIONDO: Waziri Mkuu Pinda na msafara wa magari 38

    Ninalaani kitendo hiki kinachoendelezwa na Waziri Mkuu cha matumizi makubwa ya fedha za walipa kodi
  9. J

    Mbunge wa Kwimba ni kituko cha wabunge wote Tanzania

    Sawa kabisa huwezi kuendeleza wananchi wa jimbo kwa fedha za mfuko wako na familia yako
  10. J

    Mbunge wa Kwimba ni kituko cha wabunge wote Tanzania

    Jamani msishangae hao ndio CCM Bana, Yupo mbunge mwingine Shinyanga jimbo la KISHAPU (MWARABU-SULEIMAN NCHAMBI) siku hizi anatembea pikipiki ndani ya lori ana-andaa mikutano na kuonyesha zile pikipiki kuwa amewaletea za kupambana na umasikini kisha anahama nazo kwenda kuonyesha ktkt mkutano...
  11. J

    LOLIONDO: Waziri Mkuu Pinda na msafara wa magari 38

    Kabeba watu wa ku-support idadi ya muonekano wa mavazi ya CCM ktk mkutano huo Achana nae huyo
  12. J

    Majibu ya JK kwa Kagame ni haya hapa

    big up mkuu fikirikwanza, jk ashughulike na watu wake, rwanda wanachofanya japo hakina uhakika lakini ni kwa maisha bora ya nchi yao. Bwana misifa yeye hajui afanye nini kwa faida ya wananchi wake!!!!!!!!!!!!!!
  13. J

    January Makamba awataka wananchi wawalaumu wabunge wao kuhusu kodi ya 1,000 kwa kila laini

    Huyu MJINGA ameshasahau kauli yake, mara tu alipozawadiwa u-naibu waziri alitangaza kuwa atahakikisha gharama za mawasiliano zinapungua kwa kiasi kikubwa!!!!!???? Lea anakuja na NENO TU eti tusimlaumu ila tulaumu wabunge wetu???!!!
  14. J

    Is this the end of CHADEMA?

    Yawezekana kabisa ni wanaume wengi duinani wanopigwa na wake zao, lakini sasa mwenzetu huyu ni tofauti kabisa kwa sasabu yeye akipigwa kidogo tu analia saaaaana!!!
  15. J

    Mgomo wa walimu wanukia, na wafanyakazi wa migodini kuacha kazi

    1.) Mgomo wa walimu ni sawa na wasirudi nyuma,2.) Kuhusu mafao:Falsafa nzima ya mzunguko wa maisha inasema hivi: JANA NI HISTORIA, KESHO NI MAJALIWA, LEO NI ZAWADI. Sasa iweje mtu uishi kwa kutegemea KESHO? ili hali maisha ni sasa(leo),? je nani kaiona KESHO?
Back
Top Bottom