Thanks bro , n kweli but maranyingi huduma huanzishwa na soko litanipa mwelekeo..........basic progam nlizotaget n Graphics & design na maintanance etc
Napenda kufungua center itakayokuwa inatoa mafunzo ya computer kwa wanafunzi wanaohitimu elimu ya kidato Cha nne pamoja na wadau wengine
Naomba mwongozo wenu juu ya wazo hili au anaejua changamoto Zake anijuze tafadhari
Nakaribisha mawazo
Wapendwa Mtu ukiwa na mtaji unaotosha kununua pikipiki ili uwe unapata kamisheni ya kila siku na kuwekeza kwenye saloon uwe unapata kamisheni ya kila siku. Je upande ipi una faida na risk ndogo au kubwa????
NAWASILISHA
Karibuni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.