Recent content by JOEL HB

  1. JOEL HB

    Hii imekaaje ya kuja kulipia daraja la Kigamboni?

    Kwahiyo ni mradi wa NSSF na sio serikali. Sasa hawa jamaa wakazi gani tena?
  2. JOEL HB

    Ni kweli kuwa wanaohudhuria mikutano ya UKAWA wako chini ya miaka 18?

    Sasa hawa jamaaa wanchekesha. Ni juzi tuu tumeona watoto wa shule za sekondari ndio wamejaa pale mashujaa. Sasa unataka kutuambia nini? Hao ni above 18? Jiandaeni kisaikolojia kuachia nchi kwa amani.
  3. JOEL HB

    Ikulu ziko ngapi? Magufuli anataka kwenda Ikulu ipi?

    Ccccmm ndio wanaroho na ving'ang'anizi wa madaraka. Miaka hamsini na nne bado wanawadanganya wananchi kwa ahadi hewa kisa wasalie madaraka. Amka, shituka kisha toroka uje. Enl rais ajae wa jmt.
  4. JOEL HB

    Uamuzi wa NEC pigo kwa UKAWA

    hapo chama dola kimekomeshwa sasa tutaona hizo kula za kwenye ma hotpot zitaingiaje kwenye masanduku. maana pale kwa mkurugeziniii huwa wanazima umeme kisha wanaingiza hizo kura za kwenye hotpot.
  5. JOEL HB

    Mzee Kingunge N. Mwiru atangaza Rasmi kuachana na CCM

    humu ndani watu wanafikiri kwakutumia nanihii!! hivi nani hakumsikia MZEE KINGUNGE alichonena jana? Nyie team fisiem hebu fungueni hizo bongo zenu. huyu mzee anaunga mkono mabadiliko. tena kasema yamechelewa. sasa mnapiga kelele wee! au ndio dalili za kifo cha mende kupiga miguu akiwa amelala chali?
  6. JOEL HB

    Lowassa amjibu Kinana huko Pemba!

    EL mtu wa watu. atatuvusha salama kutoka kwenye lindi la umasikini.✌✌
  7. JOEL HB

    Yaliyojiri Tanga: Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA, E. Lowassa - Septemba 28, 2015

    hiyo barua ilikua inaelekezwa wapi? maana hata haioneshi nani anatakiwa kuisoma. kweli umepungukiwa uwezo wa kugushi. kwanini hamtaki kuamini kua watanzania wanataka mabadilikooo?
  8. JOEL HB

    Mtatiro BIG UP!!

    we are moving forward! change is now! big up mtatiro
  9. JOEL HB

    Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    nadhani Dr. hajatutendea haki watanzania. sasa anataka tuendelee kuwawek CCM madarakani ili mama zetu waendelee kuzalia sakafuni katika hospital zilizofurika huku serikali ikitumia kiasi kikubwa kununua magari ya kifahari na kulipana posho lukuki? hapo simuungi mkono hata kidogo. MIMI...
  10. JOEL HB

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    Toka asubuhi hadi mchana huu Mji wa Tanga na viunga vyake hauna umeme wa Maji. Haya ndio maisha bora tuliyo ahidiwa na serikali yetu ya chama cha mapinduzi.
  11. JOEL HB

    Huu ndo utabiri wa Ligi Kuu England 2015/16

    Huyu jama ka copy na ku paste last seasons profile. Kasoro points.
Back
Top Bottom