Re:Mawaziri wafoji vyeti.
Swala hili linatakiwa lijadiliwe kwa kina,kufoji na kusoma katika vyuo ambavyo havitambuliki ni vitu viwili tofauti, kufoji ni jinai, na kuhitimu katika vyuo visivyotambulika ni kupoteza hadhi tu ya kutokuwa mhitimu wa fani husika lakini hawezi kushitakiwa kwa jinai...