Recent content by Joe N

  1. Joe N

    Msaada kuhusu kipimo cha CT scan Dar es Salaam

    Nenda TMJ hospital pale mikocheni, last year nilimpeleka ndugu yng pale, cost ilikuwa laki 6
  2. Joe N

    Tujadili tamko la Waziri wa Elimu kuhusu masuala ya udahili

    Hapana, gharama za a'level ni ndogo mno kuliko diploma chuoni, ni vema cc wenye uwezo mdg kiuchumi 2kaze buti ili 2qualify kwenda a'level kisha degree. Hii ita2fanya 2we serious na elimu kuliko kulegealegea halafu 2narnda diploma. Safi sana mh. Ndalichako
  3. Joe N

    Serikali ipige marufuku watu ambao siyo 'Professional Teachers' kufundisha Private Schools

    Mkuu, bila shaka unatambua kuwa nchi ye2 ina uhaba wa walimu. Huoni kwmba ni vema watu hao wakawezeshwa zaidi ili kutatua janga hili nchini??? Lakn pia huna haja ya kulalamka sana coz hata wale waliosomea ualimu, wengi wao hawakufaulu vema form 4 na 6, lakn asilimia kubwa ya hao...
  4. Joe N

    Wakati sisi tunalalamikia mikopo, Afrika kusini wanataka wasome Bure.

    Hebu tafakari upya mawazo yko, yaonekana kuwa bdo hujajua tofauti kati ya elimu bure na elimu kutolewa kwa mkopo, suala hili halijali hali ya kiuchumi wa nchi huska. Lakn pia nchi hii bdo inahtaji wasomi kwani nchi yny wasomi wengi hupata maendeleo makubwa kuliko yny wasomi wachache. Usikubali...
  5. Joe N

    Kupoteza cheti

    Nenda karipoti polisi then uende NECTA offices,utahojiwa then utatakiwa kutangaza kupitia magazeti kisha upeleke nakala ya gazeti hilo lenye tangazo lako necta then utapewa utaratibu mwngne but u will never be given another original certificate
  6. Joe N

    Naomba msaada juu ya ku apply TCU

    Same to me, but degree programme, co faculty
  7. Joe N

    Je ni vp unaeza kujiajir ukiwa umesomea uhasibu??

    Kujiajiri kwa degree ya uhasibu ni ngumu xana kwa sasa b'coz of technology advancements but unaweza kujiajiri kwa kufanya kazi nyngne coz kujiajiri co lazma ujiajiri kwa kile ulichosomea ndio
  8. Joe N

    Second round vyuo vyote nimekosa Tumain la mwisho nasubiri RUCO kama jina litakuwepo

    2po wengi mkuu, hata mm nimekosa vyuo vyote nilivyoomba 1st na 2nd round kmebaki Ardhi
  9. Joe N

    SUA

    First round SUA walitoa j'mosi tar 1 Oct
  10. Joe N

    TCU na NACTE kulikoni?

    Kweli kabsa coz hata wakifungua watataka kufanya usafi kwanza
Back
Top Bottom