Kwa nilivyosoma na kuelewa .
Biashara uliyoanza nayo HAIKUWA na Misingi na Mizizi .
Niamini nikisema HAIKUWA na hivyo vitu .
Kwa ushauri wangu .
Anza Biashara moja upya na isimamie kisawasawa.
Wanawake wengi/wake zetu si wa kuwaachia biashara na wewe kupambana na Biashara nyingine.
Jipe muda...
Kufanya biashara ya miamala badala ya vifaa vya umeme jumla na reja.
Hakika nakuwaga na majuto kwa kuchelewa kuianza hii biashara.
Nawaza nimepoteza 3 years kwa miamala na hakuna kitu nimevuna.
Nahitaji wakala wa SMP TAA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.