Recent content by Joasi

  1. Joasi

    Wakuu ushauri wenu ni muhimu, nimefilisika

    Kwa nilivyosoma na kuelewa . Biashara uliyoanza nayo HAIKUWA na Misingi na Mizizi . Niamini nikisema HAIKUWA na hivyo vitu . Kwa ushauri wangu . Anza Biashara moja upya na isimamie kisawasawa. Wanawake wengi/wake zetu si wa kuwaachia biashara na wewe kupambana na Biashara nyingine. Jipe muda...
  2. Joasi

    Ushauri: Nataka kununua simu Janja, nawaza S23 au Z Fold

    Shukrani mkuu. S23 ultra bei Ipoje kama unaifahamu.
  3. Joasi

    Ushauri: Nataka kununua simu Janja, nawaza S23 au Z Fold

    S23 ultra bei ipoje brand new.
  4. Joasi

    Ushauri: Nataka kununua simu Janja, nawaza S23 au Z Fold

    Nimeiona kwa video. Lakini nimekuwa nawaza juu ya ule mstari baada ya matumizi ya mwaka utakuwaje. Vipi kuhusuS23 na 7pro pixel
  5. Joasi

    Ushauri: Nataka kununua simu Janja, nawaza S23 au Z Fold

    Ni mzoefu kidogo kwenye maisha. Nachagua kubadili simu kwa sasa
  6. Joasi

    Ushauri: Nataka kununua simu Janja, nawaza S23 au Z Fold

    Mwezi huu nataka kununua simu Janja na mpaka hapa nawaza kununua S23 Or Z Fold 4 . Nisaidie Uchaguzi mzuri na kwa wazoefu tusaidiane.
  7. Joasi

    Leo nimetimiza miaka 15 ndani ya JF

    Nisaidie kujua nami ni miaka mingapi
  8. Joasi

    Ni kosa gani kubwa ulilifanya kwenye maisha yako na usingependa wengine walirudie?

    Kufanya biashara ya miamala badala ya vifaa vya umeme jumla na reja. Hakika nakuwaga na majuto kwa kuchelewa kuianza hii biashara. Nawaza nimepoteza 3 years kwa miamala na hakuna kitu nimevuna. Nahitaji wakala wa SMP TAA
  9. Joasi

    Machimbo mazuri ya kupata bidhaa mbalimbali Kariakoo kwa bei nafuu

    Nimewasiliana nao bei ipo juu zaidi na vat included
Back
Top Bottom