Recent content by Joao de Matos

  1. Joao de Matos

    JamiiForums Tanzania Kuna ubaya chumba cha watoto wa kike kuwa karibu na watoto wa kiume katika ujenzi?

    Hata mwenyewe nimefikilia hilo
  2. Joao de Matos

    JamiiForums Tanzania Waliojenga mwaka 2021 tunaomba uzoefu wenu

    Natumaini MUNGU kashatenda mkuu
  3. Joao de Matos

    JamiiForums Tanzania Msaada kujua gharama ya kufyatua tofali 4,800

    Aiseee
  4. Joao de Matos

    JamiiForums Tanzania kuna uwezekano wa kupata VIGAE (Tiles) vya rangi ya kijani na njano

    Kijani sawa ila njano daaaa
  5. Joao de Matos

    JamiiForums Tanzania Mjengo kama huu ungekuwa Tanzania

    Wenzio washafikilia hayo.
  6. Joao de Matos

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa kiafrika

    Waafrica tunajenga eneo ya kujihifazi tuu, na ndo wengi wanafanaya hivyo.
  7. Joao de Matos

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukiona mpenzi wako anakuharakisha sana akupe utamu ujue ni sababu ya moja ya mambo haya

    Pole Sana najua yamekupata
  8. Joao de Matos

    JamiiForums Tanzania Dunia imesimama na Rais Samia Suluhu Hassan hoja ya Teenage Mothers

    Usikimbie njoo huku, Ninavyojua Serikali ya Bongo land hawajafanya juhudi zozote zile za kuzuia mimba mashuleni. Sasa Kama mnajua kuwa kwa mwaka zaidi ya mabinti 6500 wanapata ujauzito shuleni, je hao wanaume 6500 mnawafunga wote? Jibu na Hilo usikimbie. Kama kweli mnafuatilia.
  9. Joao de Matos

    JamiiForums Tanzania Dunia imesimama na Rais Samia Suluhu Hassan hoja ya Teenage Mothers

    Jibu swali mkuu.🤣🤣🤣🤣😂😂
  10. Joao de Matos

    JamiiForums Tanzania Dunia imesimama na Rais Samia Suluhu Hassan hoja ya Teenage Mothers

    Tutafika tuu usijali.
  11. Joao de Matos

    JamiiForums Tanzania Dunia imesimama na Rais Samia Suluhu Hassan hoja ya Teenage Mothers

    Kama Kuna watu wanafanya hivyo kwa Nini yeye hazuiii.
  12. Joao de Matos

    JamiiForums Tanzania Dunia imesimama na Rais Samia Suluhu Hassan hoja ya Teenage Mothers

    Serikali wengewe hawafanyi jitihada zozote zile za kuzuia watoto kupata ujauzito.
Back
Top Bottom