The Dark, Ushauri wangu upo hivi. Hisia zozote zinaendeshwa na ubongo. Ubongo uruhusu kila kitu kiweze kufanyika kwa wakati na muda sahihi.
Tatizo lako lipo kwenye brain centre ambao brain have already learnt on wat you should do wen having sexual desire. Hivyo basi cha kufanya unaweza kukutana...
HIV has its specific antibodies thats why mtu akipimwa iwapo kuna rxn ya hizo antibodies specifies the presence of HIV. Mfano a pregent woman anapochukua kit UPT na kuweka mkojo the same thing inatokea under hormonal infuences specific. So diseases aidha ni due to bacteria, virus or fungal...
Siwezi kukulaumu kwa usichokijua. Kila mtu anafanya kazi yake kwa akili ya hali ya juu ili maisha ya mwenzake au ndugu yazid kuimarika. Kazi yetu ni ya weledi wa hali ya juu, iwapo unaona tunatua akili ndogo [emoji23][emoji23][emoji23] ukija tutakutibu kwa hali ya juu ili usipoteze maisha...
Udaktari sio wito ni huduma kama huduma nyingine. Wito wake unakuja kwenye maamuzi tunayochukua kuokoa maisha bila kuangalia nan anapata msaada. Ila haki kupata mshahara unaoendana na kazi tunazofanya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.