Recent content by Joan lewis

  1. Joan lewis

    Rais Samia unayajuwa yanayopangwa gizani?

    Ukiona mtu Kila Leo anakushauri mambo mepesi mepesi ujue huyo ni ibilisi wako. Tokana nae kwa Akili. Mfano unamweleza Sina ada kulipia Binti shule yeye anakwambia mwoze... Wengine wako jikoni kupika kiki za ajabu ajabu na nyepesi. Fikiri akili hizo wanazo ila kutatua kero za wenyenchi hawana.
  2. Joan lewis

    Ni situation gani ilikufanya utambue kuwa lazima utafute pesa hata iweje?

    Jambo la Heri mkuu. Naamini huwezi kuwapuuza wanaohangaika kuwaona kama wazembe sivyo?
  3. Joan lewis

    Ni ipi hatma ya ongezeko kuu la vijana wadhaifu amid kuporomoka kwa kasi soko la ajira na kupungua kwa rasilimali?

    Hata iyo biashara na Chochote atachofanya ataishia uraibuni kufuatia mazingira ya uadui na dhulma za Kila siku atazokutana nazo, kuanzia mamlaka, wateja jamii nk. Serikali yoyote Duniani isipojali watu wake haswa vijana hakuna mtu atawajali, ikiwemo jamii na ndugu zao. Kisha inafungua mlango wa...
  4. Joan lewis

    Kwa unyenyekevu mkubwa, naombeni msaada wa mawazo kuhusu huyu binti

    Asiache kuhifadhi sehemu ya kama atamgeuka ili asijiue.
  5. Joan lewis

    Uhakika ni kuwa hali waliyonayo vijana ni mbaya mnoo. Baada ya kupigika kiuchumi na kimatumaini kitakachofuata ni kupigika afya ya akili

    Kila report yaTRA makusanyo yanavuka asilimiamia. Dr kikwete akiwa Mwenyekiti wa Jukwaa la elimu kachangisha Trillions na kupewa zaidi, Misaada ya EU na donnors wengine kwenye elimu haijawahi kukoma. haswa wakati wa mama. je shida Iko wapi kujaza Hilo pengo la walimu 176,000? Ambapo Mtaani...
  6. Joan lewis

    Mkasa wakutisha katika Taifa la Zambia na kwanini kama Taifa yatupasa kujifunza kwao kuepuka laana

    Hata odinga naskia Odinga senior alikuwa aingie ikulu nadhani baada ya Kenyatta wakamuua, ndio mana ondinga huyu anaogopeka na Juzi Ruto (baada ya kufail pia Rais commission ya AU) kamwapia atahakikisha kwa uwezo wote odinga huyu anapewa heshima inayostahili. Katika nchi ya Kenya pamoja na...
  7. Joan lewis

    Uhakika ni kuwa hali waliyonayo vijana ni mbaya mnoo. Baada ya kupigika kiuchumi na kimatumaini kitakachofuata ni kupigika afya ya akili

    Ongezea unaona maafa pia kwani sidhani wote watakufa kistaarabu. Mungu aepushe. Tumeshuhudia vikundi vikiibuka Kila pande na majina Yao mara watoto wa panya, walonjoo nk.
  8. Joan lewis

    Mkasa wakutisha katika Taifa la Zambia na kwanini kama Taifa yatupasa kujifunza kwao kuepuka laana

    Wewe ni zaidi ya filimbi ya mwisho. ni zaidi ya Last and favoured warning. Inasikitisha kutosikiza hoja nzito za watanzania kama waalimu na wahitimu wengine ilhali pengo la Rasilimali watu lililopo Linawezq lisijazwe hata wangechukuliwa wahitimu wote mitaani. Then Kila Kona ya idara, taasisi...
  9. Joan lewis

    Mkutano Mkuu CCM akili za kuambiwa changanya na za kwako Jakaya Kikwete akanawa mikono nakuondoka

    Una codes Lukuki na mgumu kutafuna, inahitaji wenye magego ya Cuba.☹️🥲
  10. Joan lewis

    Unarudi kitaa ulipokulia unakuta washkaji wote hawapo. Zimebaki kumbukumbu tu za Kijiwe chenu. It's a very painful moment.

    Hapo hayo mafanikio unakula mwenyewe, kama Mzee tola akilia chakula chake gizani asiombwe. Climax au pick nzuri ya mafanikio ule na watu kama hao mliokua pamoja kusoma nk.. Maisha ni fumbo
  11. Joan lewis

    Rai yangu kwa vijana mliojipata vizuri, tengeneza mazingira ya kuja kumuinua mwanao kwa kumuajiri wewe mwenyewe au kumsaidia mtaji au asset ajiajiri

    Wakati akizunguka na bahasha unamjengea sumu na kisasi moyoni akijua kabisa una michepuko miwili umeiwezesha mitaji. Finally uzeeni.
  12. Joan lewis

    Askari afa kwenye ajali ya gari njia ya Chanika. Alikuwa kwenye gari dogo lagongwa na daladala

    Yeye marehemu alikuwa mkuu wa kituo Cha polisi chanika (OCS) Hapa ndio naanza kuelewa namna vyeo vinavyogawanywa nchi ya giningi.
Back
Top Bottom