Ukiona mtu Kila Leo anakushauri mambo mepesi mepesi ujue huyo ni ibilisi wako. Tokana nae kwa Akili.
Mfano unamweleza Sina ada kulipia Binti shule yeye anakwambia mwoze...
Wengine wako jikoni kupika kiki za ajabu ajabu na nyepesi. Fikiri akili hizo wanazo ila kutatua kero za wenyenchi hawana.
Hata iyo biashara na Chochote atachofanya ataishia uraibuni kufuatia mazingira ya uadui na dhulma za Kila siku atazokutana nazo, kuanzia mamlaka, wateja jamii nk.
Serikali yoyote Duniani isipojali watu wake haswa vijana hakuna mtu atawajali, ikiwemo jamii na ndugu zao. Kisha inafungua mlango wa...
Kila report yaTRA makusanyo yanavuka asilimiamia. Dr kikwete akiwa Mwenyekiti wa Jukwaa la elimu kachangisha Trillions na kupewa zaidi, Misaada ya EU na donnors wengine kwenye elimu haijawahi kukoma. haswa wakati wa mama.
je shida Iko wapi kujaza Hilo pengo la walimu 176,000? Ambapo Mtaani...
Hata odinga naskia Odinga senior alikuwa aingie ikulu nadhani baada ya Kenyatta wakamuua, ndio mana ondinga huyu anaogopeka na Juzi Ruto (baada ya kufail pia Rais commission ya AU) kamwapia atahakikisha kwa uwezo wote odinga huyu anapewa heshima inayostahili. Katika nchi ya Kenya pamoja na...
Ongezea unaona maafa pia kwani sidhani wote watakufa kistaarabu. Mungu aepushe. Tumeshuhudia vikundi vikiibuka Kila pande na majina Yao mara watoto wa panya, walonjoo nk.
Wewe ni zaidi ya filimbi ya mwisho. ni zaidi ya Last and favoured warning. Inasikitisha kutosikiza hoja nzito za watanzania kama waalimu na wahitimu wengine ilhali pengo la Rasilimali watu lililopo Linawezq lisijazwe hata wangechukuliwa wahitimu wote mitaani.
Then Kila Kona ya idara, taasisi...
Hapo hayo mafanikio unakula mwenyewe, kama Mzee tola akilia chakula chake gizani asiombwe. Climax au pick nzuri ya mafanikio ule na watu kama hao mliokua pamoja kusoma nk..
Maisha ni fumbo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.