Mambo Lulu.Pole kwa matatizo ila usiwe na shaka wala usipate shida.ni mipango ya Mungu na ninakuombea sana kikombe hicho kikuepuke kwa mapenz ya Mungu.najua halikua kusudi lako ila limetokea.Mungu na akutangulie na akutie Nguzu kwa kipindi chote hiki kigumu.tupo Pamoja kiushauri jamani huyu...
Jamani watanzania hawa ccm wasitufanye cc *******.watukane wao af wadai wametukanwa.sasa km ni msituni si nafuu tuingie tu.ya nn kunyanyasana bwana.hapa arusha tutauana.hakuna ccm wala mamaake ccm hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.