mleta mada kubali kuwa umekurupuka ,tena umetumia maneno makali sana kwenye heading yako, hapo hoja hamna, na ntawashangaa sana UKAWA wakikurupuka kulaumu kuundwa kwa baraza la mawaziri, hayo ni mawazo yako, wengi wanasemaje juu ya ukimya wa magufuli kuunda baraza ?