Kuanzia wakati huo Sauli alibadilika na akaacha ushetani wake na kuwa mcha Mungu akiwa anajilikana kwa jina la Paul, kiasi cha kifanya kazi ya Mungu kwa kiasi kikubwa kuliko hata mitume walio ishi na Yesu.
Mfano wa Shetan kujeuka Malaika,tunaipata kwenye kisa cha Sauli kwenye Biblia alie kuwa akiwaua watu wa Mungu,lkn cku 1 akiwa anaenda Dameski kutekeleza mauaji ya wakristo,ghafla njian alikutana na Mwanga mkali na Yesu akamwambia "Sauli Sauli Sauli Mbona waniudhi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.