Recent content by jmushi72

  1. J

    JamiiForums Tanzania GE2015 Nani hatari zaidi kati ya malaika aliyegeuka shetani, Au shetani aliyegeuka malaika?!

    Shetani ni roho na hukaa ndani ya mtu.
  2. J

    JamiiForums Tanzania GE2015 Nani hatari zaidi kati ya malaika aliyegeuka shetani, Au shetani aliyegeuka malaika?!

    Kuanzia wakati huo Sauli alibadilika na akaacha ushetani wake na kuwa mcha Mungu akiwa anajilikana kwa jina la Paul, kiasi cha kifanya kazi ya Mungu kwa kiasi kikubwa kuliko hata mitume walio ishi na Yesu.
  3. J

    JamiiForums Tanzania GE2015 Nani hatari zaidi kati ya malaika aliyegeuka shetani, Au shetani aliyegeuka malaika?!

    Mfano wa Shetan kujeuka Malaika,tunaipata kwenye kisa cha Sauli kwenye Biblia alie kuwa akiwaua watu wa Mungu,lkn cku 1 akiwa anaenda Dameski kutekeleza mauaji ya wakristo,ghafla njian alikutana na Mwanga mkali na Yesu akamwambia "Sauli Sauli Sauli Mbona waniudhi?
  4. J

    JamiiForums Tanzania Job (employment) opotunities.

    Mkuu i would like to get more clarification.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Msaada jamani,kufanya application kwa email

    Ila Sasa kuna application nyingine should be in handwriting.So lazima u scan hiyo application letter.
Back
Top Bottom