Mfano wa Shetan kujeuka Malaika,tunaipata kwenye kisa cha Sauli kwenye Biblia alie kuwa akiwaua watu wa Mungu,lkn cku 1 akiwa anaenda Dameski kutekeleza mauaji ya wakristo,ghafla njian alikutana na Mwanga mkali na Yesu akamwambia "Sauli Sauli Sauli Mbona waniudhi?