Akina lowasa na wenzake ndiyo walikua wasisi wa kauli mbiu ya maisha bora kwa kila mtanzania kauli hiyo haina tofauti na kuuchukia umaskini Leo hii kila mtu anajua maisha bora yalivyokua kinyume kwa msingi huo hakuna jipya atakaloweza kulifanya zaidi ya maisha kua magumu zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.