Recent content by jmas nyakanya

  1. J

    Lowassa na agenda ya umasikini

    Akina lowasa na wenzake ndiyo walikua wasisi wa kauli mbiu ya maisha bora kwa kila mtanzania kauli hiyo haina tofauti na kuuchukia umaskini Leo hii kila mtu anajua maisha bora yalivyokua kinyume kwa msingi huo hakuna jipya atakaloweza kulifanya zaidi ya maisha kua magumu zaidi
  2. J

    Pombe ina faida gani kwa Mlevi?

    Aisee mtoa mada sidhani kama utapata majibu mazuri bora ungefanya utafiti ujaribu uone ni kitu gani wanapata
  3. J

    Hivi, Redio Habari Maalum imepotelea wapi? Kabla Sinema haijaanza kuna Sungura anacheza cheza

    Vipindi vyao vina one kana star TV kila jumapili kuanzia saa mbili asubuhi
  4. J

    Tahadhari kali kwa nyote mlio na magari binafsi; chunga sana na waambie wengine!

    Poa sana ila naomba kuelewa overdrive inavyotumika na ikawa inawaka ktk dashboard yako ndo iko on au of
Back
Top Bottom