Hapa kitakachoendelea ni kutukanana tuu, kifupi Magu alikuwa 50/50 kati ya kupendwa na kuchukiwa... Alifanya makubwa kwa Africa yetu hii yenye vichwa ngumu Lakini kwa baadhi ya watu walichofanywa only GOD knows, wazee wetu wa kichagga wahawakuamini kama jamaa ameenda kweli.
Nakuunga mkono lakini ujue hatujawahi kukodi viongozi kutoka nje maana yake wanawakilisha jinsi waafrika tulivyo, Watu weusi kuanzia Sub-Sahara mpaka south nenda nchibza Caribbean kote watu weusi maisha yetu ni shida! kuna kitu hatuko sawa kwa kweli... refer maneno ya P.W Botha kiongozi wa...
Kwanza katiba mpya yenye kuipa kila mhimili nguvu kubwa bila kutegemea mwingine na adhabu iwe ni kifo risasi hadharani kwa wezi wa mali za umma au wanaosign mikataba mibongo ya kuigharimu nchi, mikataba yote iwe wazi na ijadiliwe bungeni...
Kuwa waziri lazima kufanyike vetting sio kuteua tuu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.