Habari wana jf
Awali ya yote nipongeze jukwaa hili kwa kuendelea kutoa elimu katika maswala mbalimbali
Pili, kuna mikopo inayotolewa na kampuni mbalimbali za mikopo mitandaoni na kimsingi mikopo hii ni zaidi ya kausha damu kwani ni ya muda mfupi,mikopo midogo ila riba kubwa sana.
Nayasema haya...
Kimsingi nilipigiwa simu akajitambulisha ni afisa utumishi wangu kutoka niliko hama kuja hapa dar akinisisitizia malipo yangu ninayodai toka mwaka 2017 yametoka hivyo natakiwa kwenda kuchukua barua zangu ofisi ya masijala na kwakuwa niko mbali nikamtuma mshkaji wangu kwenda kufuatilia akajibiwa...
Nawasalimu nyote.
Ndugu zangu nimetapeliwa katika mazingira ya kutatanisha ambayo mpaka sasa wahusika wanapatikana nimepeleka taarifa kituo cha polisi kimsingi mpaka leo sijapata msaada nawaombeni mwenye kuweza au kujua namna ambavyo naweza kufanikisha hili anisaiidie maana nimepoteza hela...
Habari wadau.
Awali ya yote niwape pole na majukumu yenu ya kila siku kwa ujumla wenu.
Pili niwashukuru wale wote ambao kwa namna moja au nyingine baada ya post yangu hapa juu ya MWILI KUPIGA SHOTI KAMA UMEME kwa namna ambavyo kila mmoja wenu alivyoweza kureact agaist the topic either...
Habari wakuu,
Nina changamoto kubwa ambayo inanitesa naombeni msaada wa mawazo. Kimsingi nina shida ya kiuno kufa ganzi au kukamaa kwa muda hususani ninapo enda haja au kukaa kwa muda mrefu sijaju shida ni nini.
Pili naomba kujua kwa undani zaidi kwa wenye uelewa nimekuwa ni muumini wa punyeto...
Habari wadau
Nisingependa nieleze sana ila kiufupi napitia wakati mgumu sana nimekuwa nikipata shoti kama ya umeme kwenye mwili wangu kwa muda sasa kwani imekuwa ikitokea mara kwa mara ambapo unaweza isikia mguuni ghafla tena baada ya muda mgongoni na maeneo engine ya mwili jambo hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.