Recent content by jjt

  1. J

    JamiiForums Tanzania Dkt.samia suluh hassan akichangia mchango mkubwa kwenye mageuzi ya nchi kiujumla aeleza , Rais Mstaafu wa awamu ya nne

    Jamani, utadhani hatufikiri., huu siyo upotoshaji waziwazi! Hivi, awamu ya tano ilimaliza lini muda wake? Nauliza tu ili nieleweshwe maana yawezekana nimepotoka kidogo.
  2. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ujumbe mfupi na wa wazi kwa Rais Samia

    Utekaji na mauaji haichochei chuki mheshimiwa?
  3. J

    JamiiForums Tanzania Wajumbe wa Mkutano Mkuu CCM unaofanyika 29 na 30 Mei 2025 watoe azimio la kumfukuza uanachama Josephat Gwajima vinginevyo hatutawaelewa

    Inasikitisha na inafikirisha sana! Ukifuatilia kauli za Askofu, yaliyosemwa bungeni, na hoja ya kumfukuza kwenye chama; Nauliza tu: Ina maana ccm wanaunga mkono utekaji na kupotezwa kwa waTz?
  4. J

    JamiiForums Tanzania Kichaka cha 'TUILINDE AMANI YA NCHI' kinapaswa kufyekwa ili tuweze kuendelea kama nchi

    Inafikirisha sana......ufisadi, mikataba ya ufirisi kwenye migodi ya madini, utoroshaji wa raslimali, akaunti nje ya nchi- hivi list of shame ilikuwa ya akina nani tena? Rushwa kila Kona.....n.k...n.k ongezea
  5. J

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa Kuingiza Nchi Kwenye Machafuko

    Wenye kutafakari: Kati ya hawa , ni nani MCHOCHEZI! Ndg zangu, nchi hii ni yetu sote. Tutafakari: Kati ya hawa, ni upande upi wanaochochea vurugu. TUTAFAKARI, TUJISAHIHISHE
  6. J

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa Kuingiza Nchi Kwenye Machafuko

    Ni kweli usiopingika! Kama VYAMA VINGI tunaona kunatuletea vurugu; kama UPINZANI ni UADUI; na kama hatuwezi kukosoana, kusahihishana na kurekebishana na kuwa na Taifa lenye Amani kupitia demokrasia ya VYAMA VINGI; ni bora kufuta huu mfumo tukabaki na chama kimoja kuliko kwenda na mfumo...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mkakati wa Kuingiza Nchi Kwenye Machafuko

    Kati ya wanaodai HAKI na wanaokandamiza HAKI ni yupi anayechochea machafuko? Aliye kataa Mabadiliko ya KATIBA ambayo yalikuwa Maoni ya waTz ni nani? Ambaye hataki uwepo wa TUME HURU YA UCHAGUZI ni yupi? Je, huyu si mchochezi wa maovu namba moja? TUJITAFAKARI, TUJISAHIHISHE! Nchi nyingi...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kuhusu shambulio la Fr. Kitima

    Serikali siyo watu?
  9. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Sitarajii kuona Mahakama inaingilia maamuzi ya Tume Huru ya Uchaguzi

    Ndg zangu: kuuliza si ujinga. Kama kuna anayefahamu tume hii iliundwaje na akina nani wanaounda tume hii 'huru' anifahamishe.
  10. J

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Rais Samia acha kusema uongo na kukuza mambo. CHADEMA ilihamasisha mabadiliko ya uchaguzi sio vurugu

    Huwa nakaa nafikiria: Hivi, mabilioni ya Fedha yaliyotumika kwenye Mabadiliko ya KATIBA yamepotea hivi hivi kabisaaa, au...! Kama Taifa, tunaona sahihi kabisaa, au? Hii siyo vurugu!? Ni vurugu ya kiuchumi na kijamii na hasa kwa waTanzania maskini tulio ktk nchi hii! Siyo HAKI!
  11. J

    JamiiForums Tanzania Balile: Tukimsikiliza Dkt. Nchimbi, kesi ya Lissu itafutwa

    Lakini waTz wenzangu, swala la tume huru limeimbwa miaka na miaka! Swali: Kwa nini lisifanyiwe kazi! Kuna shida gani hapo?
Back
Top Bottom