Recent content by jjmafulo

  1. jjmafulo

    Tecno Y6 inauzwa

    Haina shida yeyote Ipo kwenye good condition 120,000/tsh ony nichek 0625563813
  2. jjmafulo

    Tecno Y 6 inauzwa

    Haina shida yeyote ni nzimA na haijatumika muda sana Laki moja na ishirini tyuuu Kama unaitaka nicheki 0625563813
  3. jjmafulo

    Mliochaguliwa Ardhi - The unique university, tukutane hapa

    Guyz hivi Community and development studies nitapata mkopo kweli
  4. jjmafulo

    Tukutane taifa

    Sijawahi kuipenda team ya ccm mi ni mwekundu damu damu hapa chadema hapa simba hapa aseno
  5. jjmafulo

    Zanzibar wabadilisha katiba ya kutowatambua wapinzani

    Futa kabisa na vyama vya upinzani tanzania si tunajitekenya huku tunacheka wenyewe futa chadema futa cuf fuka nccr mageuzi futa mfumo wa vyama vingi weka CCM tu kwenye katiba ya jamuhuri Ya muungano afu tuishi hivi hivi ccm oyeeeeeee msajiri wa vyama nchini piga kazi
  6. jjmafulo

    Kuna 'Sober House' za punyeto?

    Ila kweli nyeto aiseee kama teja
  7. jjmafulo

    Kuna 'Sober House' za punyeto?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  8. jjmafulo

    Nape aijibu Marekani, ataka ianze kujinyooshea kidole kabla haijaiangalia Tanzania

    Hawajatuamulia wao wametoa mapendekezo sasa hao ndo wanaofadhiri bajeti kwa kiwango kikubwa kama wanatoaga fedha na tunapokea mbona maandishi tunayaona mazito na yamoto
  9. jjmafulo

    Nape aijibu Marekani, ataka ianze kujinyooshea kidole kabla haijaiangalia Tanzania

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sijui anatoa wapi jeuri hiyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] noma saaaana ngoja nikae kimya nisije kuwa mhang wa makosa ya mtandao
  10. jjmafulo

    Swali: Hivi ni vizuri girlfriend/boyfriend wako kuwa karibu na rafiki yako?

    Kiongiz alijaribiwa Yesu sembuse yeye , mimi ninawivu saaaaana siwezi kuruhusu hii kitu mazoea yawe ya kawaida yasiyotia shaka sio wanazoeana utadhani wao ndo wapenz haaaaaaaaa noooooooop nitapiga mtu
  11. jjmafulo

    Swali: Hivi ni vizuri girlfriend/boyfriend wako kuwa karibu na rafiki yako?

    Mi mpenz wangu siwezi kumruhusu hata kidgo
  12. jjmafulo

    Tanzania: Chanzo cha kuporomoka kwa Maadili katika Jamii na Hatma ya Taifa!

    Ni sheria ipi inayolinda ushoga ni hiii ya nchi yetu ya tz kama wanalindwa kisheria kwann makonda na serikali yake walitangaza kiama juu yao?
  13. jjmafulo

    Tanzania: Chanzo cha kuporomoka kwa Maadili katika Jamii na Hatma ya Taifa!

    Fact sio kuumaliza na inawezekana tusiweze lakini kunahaja gani na kumwacha aendeleee kutumia mitandao ya kijamiii kujinadi yeye ni shoga huku nguvu nyingi ya vyombo vya dola inaelekezwa kwa watu wenye mchango mkubwa katika taifa kama akina malisa akina nyerere
Back
Top Bottom