Futa kabisa na vyama vya upinzani tanzania si tunajitekenya huku tunacheka wenyewe futa chadema futa cuf fuka nccr mageuzi futa mfumo wa vyama vingi weka CCM tu kwenye katiba ya jamuhuri Ya muungano afu tuishi hivi hivi ccm oyeeeeeee msajiri wa vyama nchini piga kazi
Hawajatuamulia wao wametoa mapendekezo sasa hao ndo wanaofadhiri bajeti kwa kiwango kikubwa kama wanatoaga fedha na tunapokea mbona maandishi tunayaona mazito na yamoto
Kiongiz alijaribiwa Yesu sembuse yeye , mimi ninawivu saaaaana siwezi kuruhusu hii kitu mazoea yawe ya kawaida yasiyotia shaka sio wanazoeana utadhani wao ndo wapenz haaaaaaaaa noooooooop nitapiga mtu
Fact sio kuumaliza na inawezekana tusiweze lakini kunahaja gani na kumwacha aendeleee kutumia mitandao ya kijamiii kujinadi yeye ni shoga huku nguvu nyingi ya vyombo vya dola inaelekezwa kwa watu wenye mchango mkubwa katika taifa kama akina malisa akina nyerere
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.