Watu wakifanya kazi eti wanatafuta popularity...wakibunya hawawezi kazi. Ni tathmini ya kazi au kijicho? He dared akapata..badala ya kumpa mawazo ya wapi paende vipi tunageuka small minds! You are discrediting this forum.
Ati kama mameya wengine (hata wangekuwa 50!) hawachapi kazi then yeyote...
...iko hivi.Ingawa inaonekana kwamba kuna mazingira yasiyokuwa wazi kwasasa pia nashawishika kusema kwamba kuna mambo ambayo Muro anapaswa kuwaeleza watanzania...kwa wenye akili hayaingii akilini, msiotaka safisheni vinywa:
1. Je ni kweli walirekodiwa katika sehemu tofauti na huyo mlalamikaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.