Kiukweli taasisi zote za umma ziko hivyo lakini naona kama TTCL siku hizi wafanya kazi wakipata hayo mafaiba tifauti za zamani,mimi namshauri mama awape uwezo wa kua n hizo faiba then tuwalaumu kama shurika halina uwezo wa kupata mafaiba mengi kwa pamoja wao wafanye nini wafanyakazi.
Shida...
Wadau mimi niko tabora ndo mtandao wangu huku nzega mitandao mingine shida ila TTCL ni baba lao naona wote mnaopinga ni upotoshaji mkumnwa voucher zinapatikana na unaweza kununua kupitia mitandao mingine kama vida pesa
Aitel money na mingine hakuna mtandao kama ttcl unaweza nunua salio kupitia...
Ndugu wa JF naomba kuthibitisha Mimi ni Mfanyakazi wa TTCL hii habari sio ya kweli kabisa TTCL ilisha lipa Mshahara mapema kabisa watu tumepata mshahara Bank tarehe 20 hadi 21 wafanyakazi wote walikua wamepata na hii ilifanyika makusudi kabisa ili wafanyakazi washerekee sikukuu ya Christmass...
Ukweli ni kwamba sasa dunia inakoenda siko hata kidogo ingawa wanahaki ya Kuandamana lakini haya mambo ni kinyume na mapenzi ya mwenyezi Mungu, kwani hakuuba Adam na Adam ila aliumba Adam na Eva, hata hivyo watu wakulaumiwa ni wapenzi wao wanao shirikiana na hawa watu kwani ndo wanafanya mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.