Recent content by jitu la kale

  1. J

    JamiiForums Tanzania Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Saha Designated Savaiva, Sahani moja kama ni chips mayai ni tsh 2000,chips kavu ni tsh 1500.....wanachuo wanapenda sana chips kavu na iliyojaa sn,nimegundua ili eneo linanitia hasara pia
  2. J

    JamiiForums Tanzania Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    MZAWA JF, Umenichekesha pia kwenye kuonga japo Simo.....sema gharama za uendeshaji ni kubwa kuanzia mafuta,mkaa,chachandu na nk....nawaza niamie kwenye gas labda
  3. J

    JamiiForums Tanzania Biashara ya chips: Faida na Changamoto zake

    Habari za asubuhi wadau wa JF. Mimi ni kijana niliewekeza kwenye biashara ya chips hapa chuoni Mipango Mwanza. Kiukweli biashara ipo nzuri tu maana kwa siku nauza kilo 50 mpaka 55 za viazi, mishikaki ya ngombe kilo 2, na kuku 2 mpaka 3. Yaani gunia la viazi la kilo 100 linaisha ndani ya siku 2...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

    Nyimbo ya chid Benz ya ''sitapenda mwingine zaidi yako'' plz naomba uweke ili nipakue kama dawa
  5. J

    JamiiForums Tanzania Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

    Juma nature--sitaki demu remix
  6. J

    JamiiForums Tanzania Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

    Juma nature--sitaki demi remix
  7. J

    JamiiForums Tanzania Ubora wa Paul Matthysse a.k.a P-Funk Majani wa Bongo Records

    List Kali sana.....plz naomba sitaki demu remix by juma nature ft Mac dizzo
  8. J

    JamiiForums Tanzania SZIFF 2019: Wadau wachukizwa na watoto kupewa tuzo za mwigizaji bora wa kike na kiume

    Azam wako sawa maana akina monalisa siku hizi kazi yao kubwa ni kutafsiri moves za kizungu kwenda kisw... Mfano hii ya sultan mpaka bongo movie wenyewe wanalalama, wema mwaka jana alishinda tuzo hii baada ya hapo a kaanza kuturekodia Instagram yeye na bwanake wakilambana nyeti zao hadi...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Mkopo imenikata wakati haikunisomesha, tafadhali nisaidieni nimechanganyikiwa!

    Asante kwa ushauri wenu mzuri baadhi naona mnaingiza na utani lkn sio mbaya.....hatua lazima nichukue ili makato yasitishwe maana ni maumivu kwangu
  10. J

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Mkopo imenikata wakati haikunisomesha, tafadhali nisaidieni nimechanganyikiwa!

    ulifanyaje kuwasiliana nao...uko dsm au nje ya dsm.....maana natafuta njia rahisi kama ipo
  11. J

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Mkopo imenikata wakati haikunisomesha, tafadhali nisaidieni nimechanganyikiwa!

    ulifanyaje kuwasiliana nao...uko dsm au nje ya dsm.....maana natafuta njia rahisi kama ipo
  12. J

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Mkopo imenikata wakati haikunisomesha, tafadhali nisaidieni nimechanganyikiwa!

    asante wadau.....tatizo nipo mwanza na hapa kuna ofsi zao lkn naona ni chenga tupu...mimi imetokea mwezi huu lkn nimeenda nimekuta wa mwezi nov 2016 bado hata makato hayasitishwa wanalia kabisa pale ofsini maana mwezi huu wamewaongezea makato
  13. J

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Mkopo imenikata wakati haikunisomesha, tafadhali nisaidieni nimechanganyikiwa!

    ulifanyaje kwanza kwenye kusitisha makato.....au bado wanakukata
  14. J

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Mkopo imenikata wakati haikunisomesha, tafadhali nisaidieni nimechanganyikiwa!

    Wadau habari za mchana, Mimi naishi Mwanza jiji ni mtumishi ambaye bodi ya mkopo ya elimu ya juu haikuwai nilipia hata dhumuni lakini mshahara wagu wa mwezi huu wamenikata 107,000/-.Nimeenda ofisini kwao PPF PLAZA ofisi za Kanda ya ziwa nimejilijisha ni wao wamenikata hiyo hela na kujua pia...
Back
Top Bottom