Recent content by JITA MAN

  1. J

    Wale waliochaguliwa SEKOMU tukutane hapa jamani

    DU! mkuu kumbe baridi hapo ni kali e vp totozi zipo
  2. J

    Wale waliochaguliwa SEKOMU tukutane hapa jamani

    Mi nimechaguliwa hapa mwaka huu kusomea education in special needs science subject anefahamu hii kozi upande wa ajira anijuze na mazingira ya chuo kwa ujumla nawasilisha
  3. J

    Siwaelewi TCU mpaka saa ivi

    Hiyo ni kwa walioapply kupitia nacte na siyo tcu.tcu cas haifunguki ndugu tokea jumamosi hadi sasaiv
  4. J

    Siwaelewi TCU mpaka saa ivi

    Kwani tcu cas inafunguka we jamaa
  5. J

    Selection vyuo vikuu: Fomu ya kujiunga, taarifa za vyuo na kozi

    Anaye fahamu chuo cha Marian kilichopo Bagamoyo anisaidie wakuu mazingira yake na utoaji wa elimu kwa ujumla pamoja na sheria za chuo bila kusahau hostel kama zipo kwa first year.
  6. J

    University of Bagamoyo, mwenye taarifa sahihi za hiki chuo

    Sio kweli university of bagamoyo na marian university college ni vyuo viwili tofauti japo vyote viko bagamoyo.mimi nimeomba marian university college ambacho ni tawi la SAUT ya mwz na pia nimeomba hapo bagamoyo university bsc in chemistry
  7. J

    Hizi negative (-) ZA TCU zina maana gani

    Haifunguki kaka hata mm imegoma
  8. J

    Msaada

    Jamani mi nina cut of point 7 lakini nimeomba education tokea mara ya kwanza ninatemwa 2 na sasa wameniambia niapply 3rd round nimesoma CBG na nimeomba kozi 1 vp nitachaguliwa?.nimemaliza 2014
  9. J

    TCU wametoa tangazo rasmi 3rd round aplication

    Jamani mimi ni muhanga wa 3rd round naomba kuuliza tumeambiwa tuchague kozi 5, vipi nikichagua moja nitapata chuo?. Pia napenda kuuliza, Je! Hii round kuna wadahiliwa wataachwa bila kuchaguliwa msaada tafadhali kwa anaefahamu. Nawasilisha wakuu
  10. J

    TCU wametoa tangazo rasmi 3rd round aplication

    Jamani mi naomba niulize wamesema 3rd tunaomba kozi tano je mm nikiomba 1 nitachaguliwa?.je kuna watu hii round wataachwa nawasilisha msahada tafadhali
  11. J

    TCU third round ipo tayari kwa wale waliokosa 1 na 2 round now

    Mbona huwezi kuongeza kozi wanaandika vitu vya ajabu msaada jaman
  12. J

    Tcu second round imeshatema..

    Mbona mimi hata kozi hazionekani wanaandika vitu vya ajabu 2 msaada jaman
  13. J

    Second selection TCU tayari!

    Mbona mimi hata kuona kozi zangu wanaandika 2 vitu vya ajabu
  14. J

    Kuhusu vyuo 2015/2016

    Database error
Back
Top Bottom