Recent content by JipuKubwa

  1. JipuKubwa

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Habari wadau,naomba kujua gharama ya kuvuta umeme kwa eneo linalohitaji nguzo 4 ni shilingi ngapi kwa nguzo moja? Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  2. JipuKubwa

    Mungu ni mwema kaniokoa na Kifo japo nipo kitandani hospitalini muda huu

    Polenl sana mkuu utapona tu,nakumbuka mwaka 2019 June maeneo ya Bunju karibu na Petrol Africa nikiwa kwenye bajaj,dereva wa bajaj alimkwepa boda boda aliyeingia Road ghafla,hali ilisababisha bajaj kupinduka na abaria wote kunilalia.Niliumia kifua na kuvunjika mfupa wa bega, pia dereva alivunjika...
  3. JipuKubwa

    Longido, Arusha: Vijana 70 wakamatwa na chuo chao kufungwa wakifundishwa karate na mafunzo ya siasa kali

    Bora haya mafunzo ya karate kuliko kuwa na vijana wa upinde. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  4. JipuKubwa

    Nilitoa mahari mwaka jana mwezi Desemba. Lakini mpaka leo sijafuata jiko langu

    Simamia dhamira yako mkuu,never ignore the red flag you see at the beginning, you will pay the consequence. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  5. JipuKubwa

    Mtwara: Jinsi Askari Polisi akiwemo Mkuu wa Kituo na Upelelezi walivyoshiriki Mauaji ya Mfanyabiashara wa Madini

    Mkuu,naomba nikumbushe kisa cha huyu kijana hadi kufikia kuuawa na polisi. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  6. JipuKubwa

    Tupe updates za athari za mvua hapo ulipo

    Hongereni Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  7. JipuKubwa

    Tupe updates za athari za mvua hapo ulipo

    Hahaaaa,kuna sehemu inaitwa Bonyokwa kwa kichwa. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  8. JipuKubwa

    Tupe updates za athari za mvua hapo ulipo

    Poleni sana Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  9. JipuKubwa

    Tupe updates za athari za mvua hapo ulipo

    Hapana mkuu,ila athari kubwa zipo Dar kutokana na mji kutokupangwa vizuri...karibu Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  10. JipuKubwa

    Tupe updates za athari za mvua hapo ulipo

    Kwenye hoja direct, mwana jamvi kutokana na mvua zinazoendelea hasa katika jiji la Dar es salaam huku Kimara hasa barabara ya Bonyokwa imeharibika sana. Vipi wewe huko ulipo? Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  11. JipuKubwa

    Nakubaliana 100% na walichokifanya Wanajeshi wa Lugalo ( hasa MP ) kwa Kukamata, Kutesa na Kupiga Raia Kawe kwa Mauwaji

    Yaani umeshindwa kubadilisha 'staili ' ya uandishi wako...angalia hizo herufi kubwa na kuweka mabano.Akaunti umebadili ila kuandika ni mtu huyo huyo.Acha utoto mkuu GENTA. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  12. JipuKubwa

    Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa!

    We jamaa akili hakuna kichwani kwako kabisa,umeshindwa kutaja hizo sheria za FIFA zilizovunjwa,weka hizo sheria. Pia inaonesha hujui kinachoendelea duniani,mfano ligi ya Hispania wao Laliga 'wanaisapoti' Ukraine [emoji1255] na wala hujawasikia hao FIFA wakinena lolote.Kwa hali ilivyo sasa huko...
  13. JipuKubwa

    Watanzania wawili wakamatwa India kwa usafirishaji wa kilo 1.5 ya dawa za kulevya

    Siyo kufanya kazi kwa bidii tu,ni pamoja na maarifa mkuu. Bidii bila maarifa utaishia kwenye umasikini. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  14. JipuKubwa

    LATRA yasajili kwa muda daladala kuiongezea nguvu mwendokasi

    Hivi kuna mradi ambao kama nchi tumeweza kuusimamia na ukawa endelevu tangu tumepata uhuru? Isije ikawa tunalaumu bure mradi wa mwendokasi kusuasua kumbe ndiyo uwezo wetu kiusimamizi umeishia hapo. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  15. JipuKubwa

    LATRA yasajili kwa muda daladala kuiongezea nguvu mwendokasi

    Zipo muda mrefu tu mkuu. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom