Recent content by JipuKubwa

  1. JipuKubwa

    Ukitaka kujua Muafrika ana asili ya Ujinga na upumbavu angalia kinachoendelea sasaivi ndani ya CHADEMA

    Kwani haya hamkuyatarajia? Kwa staili ile mlivyomshambulia Mbowe ndivy itakuwa hivyo hivyo.Kuepuka hili ndiyo maana mlishauriwa kuwe na maridhiano baada ya uchaguzi...hili lilikuwa wazo bora kabisa. Piganeni au muamue kuvumiliana tu. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  2. JipuKubwa

    Nimejifunza pakubwa kuhusu elimu ya fedha baada ya jamaa yangu kuchukua mkopo wa Milioni 10 kazini kwake ili anunue gari

    Hii tabia ya kupangiana maisha imeanza lini? Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  3. JipuKubwa

    Ifahamu Hali ya hewa ya mlima Kilimanjaro na zones zake kwa ujumla

    Kwanini ukiwa unapanda mlima Kilimanjaro masikio yanaziba? Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  4. JipuKubwa

    Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

    Soma maelezo yako vizuri,wewe ndiye umesema kwamba 'hukatai kwamba Mbowe hakutoa mchango siku hiyo"...kwahiyo kama alitoa basi huo ni wema japo kidogo. Okay,tufanye basi hakutoa msaada wowote kwa Lisu siku hiyo. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  5. JipuKubwa

    Huyu Hapa ndo aliyeokoa maisha ya Tundu Lissu pale Dodoma, sio Mbowe

    Wema ni deni hata kama ni mdogo kiasi gani.Uchaguzi utapita na itabaki historia... Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  6. JipuKubwa

    Mbowe ana udhibiti wa wajumbe wote wa Kamati Kuu ijayo ya CHADEMA, Lissu haelewani nao, atapitisha vipi hoja zake?

    Lengo lao ni kuona kuna mpasuko zaidi ndani ya CDM kwasababu ina faida kwao CCM. Adui yako muombee njaa. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  7. JipuKubwa

    Mbowe ana udhibiti wa wajumbe wote wa Kamati Kuu ijayo ya CHADEMA, Lissu haelewani nao, atapitisha vipi hoja zake?

    Unaweza kupendwa na usikubalike mkuu,kuna mgombea miaka ya nyuma alilalamika kwamba hata mke wake hakumpigia kura. Bahati mbaya wananchi wa kawaida hawaamui nani awe kiongozi kwenye demokrasia iliyokomaa...wanaoamua ni 'ELITE ' Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  8. JipuKubwa

    Mbowe ana udhibiti wa wajumbe wote wa Kamati Kuu ijayo ya CHADEMA, Lissu haelewani nao, atapitisha vipi hoja zake?

    Kama umewahi kuwa kiongozi katika ngazi yoyote basi utaelewa kwanini Mbowe bado anastahili kuwa mwenyekiti kulinganisha na Lisu. Lema angegombea nafasi ya m/kiti na Mbowe...Lema alikuwa ni bora kuliko Mbowe kwa sasa. Uongozi siyo lele mama,unahitaji watu walusaidie mpaka ngazi ya...
  9. JipuKubwa

    LGE2024 Pwani: CCM Mtambani yaibuka baada ya mgombea kushindwa, wawatuliza Wanachama

    Hii taarifa haijaelweka kwa upande wangu,msaada tafadhali. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  10. JipuKubwa

    Adhabu za wanajeshi

    Wabongo ni washanba tu,nakumbuka mwaka mmoja maeneo ya Kawe Ukwamani nilikuwa stendi ya daladala ndani ya basi la UDA.Kwa mbele naona wanajeshi wanafanya mazoezi ya kutembea na mizigo mgongoni...nikachukua simu yangu nyeupe blackberry nikaanza kuchukua video,nipo siti ya mbele pembeni ya dereva...
  11. JipuKubwa

    PreGE2025 Ndugai huna chako Jimbo la Kongwa, Hersi Said wa Yanga ni Mbunge ajae Kongwa

    Injinia Hersi amesoma elimu ya sekondari Dodoma mjini na kwao ni hapo Dodoma maeneo ya Maili mbili.Ila chuo ndiyo kasoma DIT. Kama ni kweli anagombea Kibaigwa ni sawa tu. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  12. JipuKubwa

    Godbless Lema anaweza akawa mmoja wa manabii wakubwa kwa sasa ndani ya Taifa

    Mkuu hii code ngumu kufungua...msaada tafadhali Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  13. JipuKubwa

    Godbless Lema anaweza akawa mmoja wa manabii wakubwa kwa sasa ndani ya Taifa

    Kwani kuna nini kinaendelea huko jikoni? Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
  14. JipuKubwa

    LIVE Yanayojiri vita ya Israel dhidi ya Palestina na Hamas

    Siyo Israel [emoji1134], ni Marekani yupo kazini mkuu. Bila U.S.A kumsaidia Israel kwa vifaa vya kisasa vya kijeshi...hatuboi hapo. Nb.Pitia baheti ya USA [emoji631] ni namna gani inaisaidia Israel [emoji1134]. Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom