Habari wadau,naomba kujua gharama ya kuvuta umeme kwa eneo linalohitaji nguzo 4 ni shilingi ngapi kwa nguzo moja?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Polenl sana mkuu utapona tu,nakumbuka mwaka 2019 June maeneo ya Bunju karibu na Petrol Africa nikiwa kwenye bajaj,dereva wa bajaj alimkwepa boda boda aliyeingia Road ghafla,hali ilisababisha bajaj kupinduka na abaria wote kunilalia.Niliumia kifua na kuvunjika mfupa wa bega, pia dereva alivunjika...
Simamia dhamira yako mkuu,never ignore the red flag you see at the beginning, you will pay the consequence.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Kwenye hoja direct, mwana jamvi kutokana na mvua zinazoendelea hasa katika jiji la Dar es salaam huku Kimara hasa barabara ya Bonyokwa imeharibika sana.
Vipi wewe huko ulipo?
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Yaani umeshindwa kubadilisha 'staili ' ya uandishi wako...angalia hizo herufi kubwa na kuweka mabano.Akaunti umebadili ila kuandika ni mtu huyo huyo.Acha utoto mkuu GENTA.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
We jamaa akili hakuna kichwani kwako kabisa,umeshindwa kutaja hizo sheria za FIFA zilizovunjwa,weka hizo sheria.
Pia inaonesha hujui kinachoendelea duniani,mfano ligi ya Hispania wao Laliga 'wanaisapoti' Ukraine [emoji1255] na wala hujawasikia hao FIFA wakinena lolote.Kwa hali ilivyo sasa huko...
Siyo kufanya kazi kwa bidii tu,ni pamoja na maarifa mkuu.
Bidii bila maarifa utaishia kwenye umasikini.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Hivi kuna mradi ambao kama nchi tumeweza kuusimamia na ukawa endelevu tangu tumepata uhuru? Isije ikawa tunalaumu bure mradi wa mwendokasi kusuasua kumbe ndiyo uwezo wetu kiusimamizi umeishia hapo.
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.