Mimi ni uvccm ni profesar wa kutunukiwa kama kiongozi pekee wa africa na duniani na nikongozi pekee wa africa aliye wahi kuongea bila kuficha yanayo endelea drc na mtatuzi wa migogoro africa eg.visiwa vya komoro na s.sudan e.t.c
huo ni upuuzi wako na ukooo wenu inawezekana hujui hata mnavyodanganywa eti serikali inasambaza umeme hayo yote ni madeni ya marekani huku unaambiwa umeme kila kona usenge mtupu
Panya road ni UVCCM na ndoo maana walivamia hadi kwa walioba ubg plaza police gani kama wanaweza kunasa silaha nzito na majambaz na wahamiji haram why not hao panya road kama cy UVCCCM?
Waungwana huyu jamaa inawezekana ni kada wa ccccm lakin lazima tumweleweshe nyerere hakuwa na maaana ya ya ukawa kusema vile .maaana ya mbwa kwanzs kisiasa mbwa wanatabia ya kulindana iwapo tu wanajuana au ni ndungu kwahiyo alikuwa anamaaanisha kulindana kama hao kina lusinde,wasira,rage,na...
Huyu mhongo kwa nini anafanya ujasili katika mambo ya nchi? Sasa nasema hivii kama alisha sain na yye kuinyonya tanesko imekula kwake (ndoo maana ukawa wanataka kila siku mikataba ipelekwe bungeni ccccm hawataki kunawiz mkubwa sana)
Mbona mnakuwa kama akili hizipo sawa? Ww unafikili takukuru,CAG,POLICE na bunge wamedanganya?acha kupotosha umma wewe kama una babayako subili utalidhi ujinga badae tuachie kwanza hil taifa cc umoja wa katiba ya wananchi.
Kama utakuwa hauna uzalendo na taifa kama tz huwez kuelewa slaa anauamusha vpi umma wa watanzania ingawa mnatumia polisi wasio na elim kuwanyanyasa wananchi tofauti kabisa na kaulimbiu eti police usalama wa raia sasa toka lini police kuzuia maaandamano ya wananchi wakati hawana siraha badla ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.