Recent content by JINDUNGA

  1. J

    Lowassa na Slaa, busara zenu zinahitajika ili nchi isimwage damu!

    DEAR GOD FORBID!!!! na hii tabia inayoota mizizi ya machagadema kumhusisha MUNGU na haka kaslaa (eti chaguo la MUNGU) kwakweli inaniudhi na inanitia hofu sana....maana naona ni kama kumtusi MUNGU. MUNGU ametuamuru tufanye mema kwa kila jambo, inaingia vipi akilini MUNGU huyohuyo amteue mtu...
  2. J

    Dr. Kitila Mkumbo: Tunahitaji mbadala wa CCM, CHADEMA (Sehemu ya Pili)

    you are absolutely right, my friend! Hii hali inatisha, inasikitisha na inakatisha tamaa.
  3. J

    Tuangalie CV za Wenyevitii wa vyama vikuu vya siasa nchini

    hahahaaaa.......ndugu taratibu....ohoooooo!!!
  4. J

    Jenista Mhagama: Waziri asiyejua dressing code tumtegemee kwa lipi katika elimu?

    dah!! haki ya nani mabavicha sasa wameishiwa!!!!!
  5. J

    Rais Kikwete afanya Mabadiliko katika Baraza la Mawaziri - Jan 19, 2014

    kama umeshapigwa bao nenda kaoge we kijibavicha kitwana. nafikiri umekosea kidogo, ngoja nikurekebishie; NYEKUNDU: sema amewaacha hoi chadema na siyo watz kama mnavyojitahidi usiku kucha kujikunduzisha! shida yenu ni kwamba mlidhani mko wawiliwawili kumbe mmehesabia na vivuli vyenu!!! teh teh...
  6. J

    Mwanafunzi anapogeuka Bosi wa Walimu wake-HAZINA

    nyie endelezeni majungu yenu...nchemba ye huyooo anaingia ofisini kuchapa kazi. nyie kesheni tu hapa jf kujaribu kuchafua watu kama ambavyo mnaagizwa...maana wajinga wapo wengi sana tz hii mnaweza mkaambua kadhaa hata hapa jf.
  7. J

    Baba Panya na Mkia wa Mwanawe

    kitendawili hiki kinavutia na kina maana kwa WAPUMBAVU, WANAFIKI,WAONGO,WENYE WIVU,WASHAMBA,LIMBUKENI,WADINI NA WALIOPIGWA BAO 2010. naona wengine bado hamjanawa hadi leo!! hata mnachokiongea hakieleweki!! poleni sana.....na 2015 hiyooooooo inakuja watu wachukue tena point 3.
  8. J

    Dr. Slaa: Baraza jipya limechoka kabla halijaanza kazi

    anachonifurahisha kikwete ni kule kuwapotezea kwake hawa wajingawajinga na waimba taarabu ambao kutwa wamekaa kupika uwongo na umbea kama watu ambao hawana kazi za kufanya. nafikiri atakuwa anajua kuwa kwa hawa watwana baraza watakalolisifia wao ni lile tu litakalotangazwa na mbowe au slaa mwaka...
  9. J

    Kuenea kwa stickers za Kupingana+ kulaani uuaji wa Tembo na rangi za CDM ni hatari kwa CCM

    kuongozwa je ianogozwa na nani? i mean...mkuu wa mkoa wilaya,wilaya, wakurugenzi n.k. pia hivi kuna wabunge wangapi wa cdm na wangapi wa ccm arusha?
  10. J

    Rais Kikwete umefanya kosa la kiufundi,next time you are the target for resignation

    safi umeandika kwa uchungu sana, hususana sehemu hiyo ya ngono. naomba tu kuuliza je, na hao wanaopitishwa na kujipitisha kutaka mamlaka makubwa kabisa ya nchi hii huku wana kashfa na kesi za kupora wake za watu unawazungumziaje? hilo la nkamia kuvizia madenti ndiyo kwanza unasikika wewe, lkn...
  11. J

    Hivi CHADEMA mmeshawahi kusema mtawafanyia nini watanzania?

    tihi tihi tihi tihi tihi tihi tihiiiiiiiiiiii.......hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!
  12. J

    Shughuli za kiserikali siku ya jumapili ukome

    hivi mnachukua lini vile nchi?!!!!
  13. J

    Maadui wa umma.

    7. CHADEMA; hawa walijifanya kuwa ni wana demokrasia wa kweli, wenye maadili na wapambanaji wa ufisadi kiasi watz wakaanza kuweka matumaini kwao, kumbe lah! hakuna lolote ni wizi mtupu na unafiki wa hali ya juu!!!! ubabe, uimla, udini, ukanda na kashfa za ngono huko ndo zimejaa!!!
Back
Top Bottom