7. CHADEMA; hawa walijifanya kuwa ni wana demokrasia wa kweli, wenye maadili na wapambanaji wa ufisadi kiasi watz wakaanza kuweka matumaini kwao, kumbe lah! hakuna lolote ni wizi mtupu na unafiki wa hali ya juu!!!! ubabe, uimla, udini, ukanda na kashfa za ngono huko ndo zimejaa!!!