Nilichogundua wewe ni mtu ambae unaelewa maana ya ustaarabu na jinsi ya kuishi katika mazingira. Lakini ukweli mchungu ni kuwa upo katika kundi la kiswahili ambalo sio level zako.
(Kiuhalisia imefika mahali Sasa ,nataka kwenda kumloga huyo basi wangu mana naona chuki zimezidi kupita kiasi) Sasa hii ndio ilikuwa point yako ila sehemu nyingine ulikuwa unatafuta uhalali tu.
Nilitaka kucomment kabla ya kusoma ila baada ya kusoma nimepata wazo zuri. Kiukweli awa wababa wa kiroho sio poa sasa hivi na wanawake wanavyomezeshwa ndivyo wanavyokula, ni muhimu sana kuwa na msimamo wa kiimani.
Kuna kitu kwenye hali ya maisha wanaita GDP kama sijakosea swala la uchumi sijui wa kila mtu…kiuhalisia ni hela ya wote inagawanywa kwa kila mmoja tunapata average ila kiuhalisia sio hivo. ndio kama hapa sasa.
Vitu tulivyonavyo waafrika mzungu hawezi kuchukua…Ndio maana ukionekana genious sana mzungu anakuchukua maana anaona kabisa hukustahili kuwa afrika yaani upo kwa bahati mbaya tu.
Uchawi,unafiki,umbea,uvivu na mengine mengi alafu bado unataka mzungu achukue nini hapa.
Hongera mkuu,ila ushauri wangu ukipata mtaji baada ya deals kadhaa. Fungua ofisi yako kwa profession kama yako unaweza ukajiajiri na kupata maokoto mengi zaidi tofauti na kuajiliwa. Think positive.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.