Recent content by Jimmywatanzania

  1. Jimmywatanzania

    Moto mkubwa watokea katika Kiwanda cha Mafuta cha Irani huko Khuzestan

    Kwahiyo myahudi kaanzia mbali kidogo?
  2. Jimmywatanzania

    KERO Uchomaji wa taka nyakati za usiku Soko la Sabasaba, Dodoma

    Kumekuwepo na changamoto kubwa ya uchomaji wa taka kwenye soko la sabasaba jiji Dodoma, nyakati za usiku. Taka hizo ambazo ni mabaki ya majani ya migomba na mabaki ya matunda kutoka soko la "miti mirefu na PAG" imekuwa kero kubwa kwa sisi wakaazi wa uhindini. Wahusika watusaidie.
  3. Jimmywatanzania

    PreGE2025 Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yamkuta na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka Paul Makonda

    Hivi hizo tume za Nini?naona kama tunapoteza fedha za umma Bure
  4. Jimmywatanzania

    PreGE2025 Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora yamkuta na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka Paul Makonda

    Hivi hizo tume za Nini?naona kama tunapoteza fedha za umma Bure
  5. Jimmywatanzania

    Mamelodi isiyofunga magoli mengi ikohatarini kuondolewa na Yanga yenye advantage ya goli la ugenini

    Simba ndiye mwenye nafasi kubwa maana ni kama hajapoteza.mna roho ya paka
  6. Jimmywatanzania

    Makonda kupelekwa Arusha ni mtego

    Sabaya kumbe Yuko jela?
Back
Top Bottom