Kwa hizo kucha mikono yote, atampikiaje mume? Na huko alikotoka mpaka kufikia hapa amesha wehuka huyu
Atafuaje na hizo kucha sasa? Au anatumia washing machine hata kufua chupi?
Uzoefu mdogo nilioupata nimegundua kuwa hata mkeo ndani ya nyumba bado unahitaji umwombe kama ndiyo unaanza kumtongoza Kwa upya. Hapo unampatia, ukifanya amri na ubabe unapoteza ladha na hamasa kwake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.