Recent content by Jimmy son

  1. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Fresh ,naona over leo zipo tujarib bahat
  2. J

    Voda mmekuwa wa ovyo sana

    Mimi ni mfanyabiashara, miezi mitatu iliyopita nikashawishika kuongeza huduma ya freelancer kusajiri laini mtandao wa voda, mwezi wa kwanza na pili walinilipa vizuri, lakini mwezi huu hawajanilipa nimejaribu kuongea na Team leader na meneja hakuna sababu walionipa kufanya nisilipwe. Nimeamua...
  3. J

    Kuna utapeli mpya umeingia nchini wanaigeria kuweni makini

    Naipataje hiyo mkuu,nataka nichukue hela yako kisha nasepa
  4. J

    Kuna utapeli mpya umeingia nchini wanaigeria kuweni makini

    Mkuu nielekeze jins ya kupata hizo task
  5. J

    TANZIA Mzee wa Mjegejege afariki dunia

    R.I.P nakumbuka bagamoyo nilikutana na huyu Jamaa kusaka connection flan
  6. J

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sioni pa kuweka code kwenye app
  7. J

    Ni mashine gani hapa mjini ukiwa nayo unaweza kujipatia 50000/-isiyo na presha kwa siku?

    Mimi nimesimamia makarasha na mwalo kwa zaidi ya miaka5 Nikweli biashara ya makarasha inafaida nzuri sanaa tafakali muzunguko mmoja tuu unalipiwa 10, 000 kwa bei ya chini kabisa lakini maeneo mengi wanasaga kwa 20, 000 na huo mzunguko mmoja nisawa na kusema kusaga kinu kimoja mzunguko huo...
Back
Top Bottom