Mimi ni mfanyabiashara, miezi mitatu iliyopita nikashawishika kuongeza huduma ya freelancer kusajiri laini mtandao wa voda, mwezi wa kwanza na pili walinilipa vizuri, lakini mwezi huu hawajanilipa nimejaribu kuongea na Team leader na meneja hakuna sababu walionipa kufanya nisilipwe.
Nimeamua...
Mimi nimesimamia makarasha na mwalo kwa zaidi ya miaka5 Nikweli biashara ya makarasha inafaida nzuri sanaa tafakali muzunguko mmoja tuu unalipiwa 10, 000 kwa bei ya chini kabisa lakini maeneo mengi wanasaga kwa 20, 000 na huo mzunguko mmoja nisawa na kusema kusaga kinu kimoja mzunguko huo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.