It means kucheleweshwa kwa Gari ndo kumefanya achelewe kukimbizwa hospital??? Ina maana hakua na private car?? Kufany kwake kazi kwa kipindi chote hicho tena kwa ufanisi mkubwa na waledi mkubwa kampuni zote alizo fanyia kazi zilishindwa kwelii kumpa hata gari ya kutembelea jamanii??? Nauliza tu...
ongera broo sahv maskini ndo tutasota mtaani mpk tukome maana no one cares alafu wengine tumetoa mpk vyeti vya kifo vya wazazi lkn ndo kwanza tunatupiliwa mbalii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.