Kwa maimamo huu ndio jambo hili linazidi kukua kwa kasi ya ajabu sana. Hivi mnaona raha vijana kuharibika kwa hali iliyopo sasa! Kila kijana ni shoga. Kila kijana anataka kujipodoa, kuvaa kike, kuongea kike, kuelezea habari za mabwana zao vitandani tena waziwazi mitandaoni! Na kazi sasa...
At least Waziri Gwajima anapambana, na anaonyesha kuwa na dhamira safi kabisa. Wizara zingine zinazoweza kukabiliana na hili nazo ziplay part yake na si kumuacha tu yeye pakee. Kama Wizara ya Habari. Hizi online TVs, mitandaoni nako huko ni balaa. Pia Wizara ya mambo ya ndani ina part kubwa ya...
Kwako Mama Dorothy Gwajima. Natumai unaendelea vizuri na majukumu yako.
Hivi Mama Gwajima, suala la ushoga hapa nchini Tanzania unaliona linavyozidi kasi au hulioni? Nakuelekezea wewe hii mada nikiamini kabisa ni eneo unaloliweza vilivyo tu, ila siku hizi umelikalia kimya, kama halikuhusu...
Ila tarehe 29, 30 walimuheshimisha. Hata kama alikuwa kashatangulia, ila walimuenzi. Lazma alikuwa proud. Ila sasa to think of it, kumuondoa Polepole imewasaidia nini?
Ujinga tu hii taasisi. Tunajiendea tu kiMungu Mungu. Hatuna chombo chochote cha usalama kinachofanya kazi yake.. watendaji wake wamejaa rushwa, ufisadi na ubinafsi
FA yuko chini ya GSM, huyo Bashite hawezi kumuamini wala kufanya nae kazi kirahisi. Aombe Mungu Bashite apewe wizara ‘yake’ ya mambo ya ndani ndio itakuwa salama yake..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.