Wakuu.
Naomba kujua kwamba Mbowe alijuaje aina ya silaha iliyotumika kwenye shambulio la Lisu kabla ya wataalamu wa Silaha hawajafanya uchunguzi wao?
Sent using Jamii Forums mobile app
NGURUKA jamani[emoji39]
Mdg wng alikuwa anasoma Bigwa Sister's wakifunga shule anakuja likizo na hivyo vijisamaki, nilitokea kuvipenda sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli kwamba hizo pesa walizotoa CRDB ni gawio, ni pesa ambazo walipewa ili kuinusuru miaka ya 90, sasa baada ya kuona wanaweza kujiendesha kwa faida imebidi wazichukue na sio gawio kama mpokeaji alivyokuwa anasema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habarini wanajamvi,
Sijui niliite ni tatizo maana siyo kawaida yangu. Hii tabia imenianza hivi karibuni, ninapatwa na kiu kali sana ya maji ya kunywa mara kwa mara, naweza kunywa maji ya kutosha baada ya dakika mbili tena nikahisi kiu balaa hasa nyakati za usiku hadi koo linakauka. Je, kuna...
NMB ni nzuri sana inaitwa mtoto account kiwango cha kufungulia ni sh. 5000/= ina riba inanayotolewa kila baada ya miezi 3 , haina gharama za uendeshaji na unaruhusiwa kutoa Mara 2 kwa mwaka pia mtt akifkisha miaka 18 ana uwezo wa kuiendesha account hiyo mwenyewe. Baada ya kufungua mtt hupewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.