Recent content by jijini leo

  1. jijini leo

    Wakati unatongoza uliambiwa leo wivu unatoka wapi?

    Mmmmmh umetisha eti ningechapa kote kote
  2. jijini leo

    Wakati unatongoza uliambiwa leo wivu unatoka wapi?

    Jamaa yawezekana alikubali hilo sharti ili afanikiwe lengo lake???
  3. jijini leo

    Tukate kiu kwanza...., halafu....!!!!

    Haitakuja kutokea iyok
  4. jijini leo

    Kipi unamiss toka kwa mpenzi wako wa zamani?

    Hahaaaa kawaida tu katka mambo hayo
  5. jijini leo

    Kipi unamiss toka kwa mpenzi wako wa zamani?

    Naenda kula mtaaan mkuu
  6. jijini leo

    Kipi unamiss toka kwa mpenzi wako wa zamani?

    Akikasirika hapiki chakula..na analala mzungu wa 4!!!
  7. jijini leo

    Nywele za huyu mwanamke zinatoa harufu mbaya

    Fanyen utafiti huu wanawake walio wengi wakiwa ndan ya magari au wakiwa nyumban au wakiwa wanatembea utawaona kila mara wakikuna nywele au kuzigusa gusa kama vile anazitengeneza lakin sivyo n kwamba ZINAWASHA MBAYA NDO MAANA MKONO HAUTOKI KICHWANI...WANAWAKE KUWEN WASAFI KILA SEHEMU
  8. jijini leo

    Nywele za huyu mwanamke zinatoa harufu mbaya

    Yan n tatizo kubwa kwa wanawake wanaotaka uzuri pasipo na uwezo nywele hazioshwi mwez mzima unategemea nn!!!!!!
  9. jijini leo

    Kituo cha polisi Geita chavamiwa, Askari wauawa!

    Laaah hali sio kama majambaz wanavamia mpk kituo cha polisi unategemea sehem kama benk.kwny maduka ya bidhaa ni.kama kumsukuma mlevi tu.nadhan majambaz yanatamba kwa sasa hayana mpinzan.R.I.P askari.wetu
  10. jijini leo

    Ni limbwata au mapenzi

    Hahaa kumbe we jiran angu tuonane bas
  11. jijini leo

    Ni limbwata au mapenzi

    Ww uko tayar kufanya hayo???? Kwny nyumba ya kupanga????
  12. jijini leo

    Ni limbwata au mapenzi

    Ingekuwa n nyumba ya pekee sawa lkn c nyumba za kupanga looh siwezi mie
  13. jijini leo

    Ni limbwata au mapenzi

    Zipo.kazi za kusaidiana lakn c hizo.kudeki kila cku na kufua nguo ndo uende kazi kwa miezi hapana mie
  14. jijini leo

    Ni limbwata au mapenzi

    Hahaa mke mzma kabisa na mwanaume ndo jembe la kazi
Back
Top Bottom