Wadau wa soka nimekuwa nikijiuliza kwani Taifa stars au vilabu vya Tanzania katika mashindano ya kimataifa Mara nyingi mechi ya kwanza tunaanzia Tanzania? Wadau kama mtu anafahamu sababu atujuze
Baada kuweka post yenye kichwa cha habari ' https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/798216-mbunge-wa-ccm-nyambali-nyangwine-awanyanyasa-wafanyakazi-wake.html na kupitia michango yetu ya wana JF mbunge uyu jana ameanza kuwalipa mishahara wanfanyakazi wake.
Amewalipa mshahara wa...
Hajawai kumnunulia mfanyakazi wake Gari, Wale wenye magari wote wanafanya kazi sehemu zingine kwa nyambali ni kama part-time, fatilia taarifa vizuri kuusu nyambali. Kwa nje anaonekana ni mtu mzuri sana lakini kwa wafanyakazi wake kuwanyima mishahara kwa miezi mi3 uyu si mtu mzuri hata kidogo...
Tatizo mnachanganya siasa na uwalisia, kampuni zake zipo Dar, yeye ni mbunge wa tarime na ndio kunapo mpa ulaji kwahyo uko lazima atafany Kitu ili mumkubali, wafanyakazi wake anawabana kwa kisingizio kama utaki ondoka, kuna watu wengi wanataka kazi. Sasa ili ni tatizo. Chamsingi ni kuwasaidia...
Laiti ungelijua jinsi wafanyakazi wanavyopata tabu kutokana na kutolipwa mishahara yao, husingeweza kumtetea uyu Muheshimiwa. Hapa kinachotakiwa ni kuwasaidia awa wafanyakazi kazi, kuna kampuni nyingi kama izi zinazonyanya wafanyakazi, tunakiwa tukemee kwa umoja wetu. Ebu chukulia kama ndio wewe...
Kwajinsi nilivyo ongea na hawa wafanyakazi, Muheshiwa amewajengea hofu kiasikwamba wanaogopa kudai aki zao, kama mfanyakazi ujalipwa mishahara ya miezi mitatu ( November, December na January) wapo kimya wanaogopa, na wakatimungine wanakwenda kazini weekend ata holiday.
Hapa kweli nivita Muraa, maana Leo nimepiya ofice zake za posta, wafanyakazi mpaka wanatia huruma, wanasema muda wa kuingia kazini unajulikana ila wa kutoka haujilikani
Huu ni mwezi wa Tatu wafanyakazi wa kampuni za mbunge wa CCM Nyambali Nyangwine hawajalipwa mishahara yao. Mbaya zaidi wanapodai mishahara yao wanatishiwa kufukuzwa kazi na kuwambia wapo watu wengi wanataka kazi kwahiyo msibabaishe.
Sasa nashindwa kuelewa hawa wafanyakazi anayegemea wanaishi...
Ndugu wana JF,
Taasisi hii sasahivi inajitaidi kufanya kazi vizuri kwa kutoa utabiri wa ukweli karibia 90% uwa wa ukweli, ndugu wana JF tujenge mazoea ya kufatilia utabiri wa hali ya hewa utatusaidia sana
Ongereni Mamlaka ya Hali ya Hewa naona mvua inanyesha kama mlivyo tabiri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.