I have studied agriculture at the diploma level, but for the requirements of an worker, I do not meet the criteria, but I have a lot of experience in vegetable production and management. I can do the farming that you see fit
Email rajabytears@outlook.com
Phone number 0620345862
Mimi bwana shamba kijana wa kuja shamba ninae kama tunaweza kufanya project nzuri Mimi nitasimamia mashamba lako Mimi nakaa chanika apo karibu na Mimi kijana ninae wa kuja apo Mimi nakuwa nasimamia ishu za shamba pamoja na kitafuta soko kama unaweza kuwekeza nitakupa mpangilioa wa mazao na jinsi...
Boma/pagale linauzwa
Vyumba 3
Choo ndani
Sebule
Bei 7.5 milion
Eneo mvuti stende mpka ilipo nyumba ukija kwa mguu dakika 10-15 boda 1000
Eneo la kiwanja 25kwa 25 mita
Vyumba 3
Choo ndani
Sebule
Eneo mvuti kutoka stend mpka kwenye nyumba mita 50 ukitembea kwa mguu dakika 1-2
Bei 14
Umeme ijawekwa nguzo imeita balazani
Ukubwa wa kiwanja 15 kwa 20 mita
Chumba kimoja na sebule
Ukubwa wa kiwanja 17 kwa 15 mita
Eneo ni Mvuti kutoka stend mpaka kwenye nyumba ni dakika 5-7 ukitembea kwa mguu.
Bei 3.5 milion
Mimi nipo mkuranga pia ni bwana shamba nalima nyanya msimu huu msimu mzuli ndio huu kuanzia mwezi wa 12 mpka wa 5 bei inakuwa nzuri ukitaji mbegu niambi nina mbegu za masika na kiangazi zote ni F1 gramha rz na jarrah rz nitakusimamia na kukufundisha ukitaji huduma zang karibu 0620345862
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.