Recent content by jige

  1. J

    Serikali kuzifuta taasisi za kidini zinazojihusisha na Katiba, Uchaguzi mkuu

    kanisa linaweza kuanzishwa sehemu yeyote, tatizo la udini limeletwa na huyu mpuuzi mkwere raisi wa wajinga watanzania mbumbumbu, hakuna kanisa hapa tanzania linaloleta uchochezi ila watanzania wajazwa ujinga na wachochezi kama dhaifu......so you better shut up.
  2. J

    Serikali kuzifuta taasisi za kidini zinazojihusisha na Katiba, Uchaguzi mkuu

    Kulewa ni kulewa tuuu, jamaa wamelewa na madaraka.
  3. J

    Kwa hili lazima Chuo Kikuu Dodoma (UDOM) mdharauliwe milele

    Nawe pia inawezekana ni mweupeeeeee, ki vipi uliwajiri kama wao ni weupe?, uliwasaili vipi?, walikuconvice vipi?.....SHUT UP IDIOT.
  4. J

    Siri ya Mahakama ya Kadhi yafichuka

    Kumbuka issue ya machinjio eti wakristo hawawezi kuchinja, WHY? Ajira mkuu, wanalipwa halafu wanapata na kitoeo bure......Wakristo au wapagani kwani tunahitaji kuchinjiwa na waislamu?.....noooooo.....issue ajira, so Mahakama ya Kadhi ni ajira yenye ubaguzi stop.
  5. J

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    "Katibu mkuu wa wizara ni mtumishi wa umma, hivyo kuna taratibu na nimeshaagiza zianze" Prof. Wa Kichina.........................Rais nae asema kama Kombani Kilaza, jamani huyu jamaa kwenye hicho cheo alimuweka kwa taratibu za utumishi wa umma...........CCM fuc......off.......go to hell in 2015.
  6. J

    Rais Kikwete aongea na Wazee wa Dar: Adai pesa za Escrow ni za IPTL. Uteuzi wa Tibaijuka watenguliwa

    Tulinawezaje kusema kwa mataifa mengine kuwa Tanzania tunaongozwa na rais kwa hotuba kama hii jamani mbona ni fedheha.............:disapointed::disapointed::disapointed::disapointed::disapointed::disapointed::confused3:
  7. J

    Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

    asante sana na uchungu huu tuupeleke kwenye kura na utakuwa na maana sana kwa vijana na jamii nzima ya watanzania, kataa kanga, kofia zenye rangi usiyoipenda n.k
  8. J

    Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

    upeo wako mdogo na utaendelea kuwa mdogo mpaka kaburini, hapa hakuna cha chama ni facts tuuu.......toka lini pesa zakalipwa kwa magunia, viroba.....toka lini ptransaction billions zikafanyika kwa cash.........wake up you idiot.
  9. J

    Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

    / Bebe Makoye Matale, ulizunya gete ihela jitijise?, alikodi?, nibuli jikinjiwa lushiku lumo?, ni buli mmagunila?. Umanile imaana ya Money Laundering?.......MISHAGA NKOI.
  10. J

    Sugu aelezea sakata la ndege ya Rais wa China

    Asante Emma, umbumbumbu huu wa aina ya TataMadiba ndio mana tunakuwa na taifa lisilojua linaelekea wapi, kila tukisema kuna tatizo la kimfumo katika serikali hii ya Mdhaifu ambaye mimi huwa namlinganisha na Chifu mmoja katika historia ya Tanzania alikuwa anaitwa Mangungu wa Kilosa, anauza nchi...
  11. J

    Paul Makonda live kupitia Clouds Radio

    This guy Makonda has mental retardation, so please please stop on discussing him as we are wasting our time and resources.
  12. J

    Siungi mkono kauli ya Mh. Mbowe kutaka kutoagizwa sukari nje

    Upeo wako mdogo sana ni heri usingechangia chochote kuhusu suala hili, na nisingependa kukuingiza darasani kukuelewesha kwa nini viwanda vya Tanzania vinahitaji kulindwa............Ondoa umbumbumbu na acha itakadi kwenye suala kama hili.........St.p.d
  13. J

    Kwanini nitamuunga mkono dk hamisi kigwangalla mwenyekiti wa tamisemi kugombea urais 2015

    yaani umeaandika wasifu mwepesi sana na utumbo tupu kwa sifa za mtu kuwa rais, pengine nakubaliana na wewe tuu kuwa sifa hizi ni better kuliko za rais wa sasa mwenye sifa moja tuu yaani sura nzuri kwa wanawake na ndio maana wanajitokeza watu hata matahira kutaka kugombea urais kutokana na kuwa...
Back
Top Bottom