Recent content by Jifunafu

  1. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Kwa mtu yeyote anayehitaji kushirikiana katika uchimbaji wa dhahabu

    Ndio kila kazi na changamoto zake,kufirisika popote unaweza kufirisika.
  2. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Kwa mtu yeyote anayehitaji kushirikiana katika uchimbaji wa dhahabu

    Wadau,ni kwamba tunatafuta mtu wa kushirikiana nae katika uchimbaji wa dhahabu,maana yake ni kwamba,tumefikia hatua tumeishiwa lasilimali fedha,kwaiyo tunatafuta mtu atakae kuwa tayari kutuunga mkono ili tufike kwenye uzarishaji. Atakae wiwa kushirikiana na sisi anakaribishwa kutembelea site na...
  3. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta muwezeshaji kwenye kazi yetu ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    Kila utafutaji wa riiki faida na hasara zipo Tembelea migodini kazi zipo nyingi tu
  4. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta muwezeshaji kwenye kazi yetu ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    Kila utafutaji wa riziki faida na hasara zipo
  5. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta muwezeshaji kwenye kazi yetu ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    2. Mgawanyo wa Hisa utakuwa kulingana na kile ulichowekeza mkuu,hivyo siwezi kusema Moja kwa moja kwamba utapata hisa ngapi,hayo ni makubaliano kati yetu sisi na wewe muwekezaji.Pia maandishi yatakuwepo ikitokea unataka hivyo. 3.Taarifa za sample zipo,ila siwezi kutoa Moja kwa Moja ni jambo la...
  6. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta muwezeshaji kwenye kazi yetu ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    2. Mgawanyo wa Hisa utakuwa kulingana na kile ulichowekeza mkuu,hivyo siwezi kusema Moja kwa moja kwamba utapata hisa ngapi,hayo ni makubaliano kati yetu sisi na wewe muwekezaji.Pia maandishi yatakuwepo ikitokea unataka hivyo. 3.Taarifa za sample zipo,ila siwezi kutoa Moja kwa Moja ni jambo la...
  7. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta muwezeshaji kwenye kazi yetu ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    Mkuu asante kwa maswali Yako. 1.Leseni baada kufatilia tulibaini Ina mtu lakini hatujataka kumtafuta kwa maana kwamba Sisi ndio wenye shamba kwaiyo ikitokea duara imefika ni lazima atajitokeza na tutakaa meza Moja na kufanya kazi pamoja endapo hatakuwa mtu wa tamaa Karibu
  8. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta muwezeshaji kwenye kazi yetu ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    Asante kwa swali lako mkuu,katika uchimbaji kunapokuwa na vitendea kazi ni jambo zuri.Generator inaendesha pump, blower na Jake hama in case vinapo itajika hivyo kuwepo kwa vifaa hivyo sio jambo baya mkuu ni sehemu ya kuimalisha ofisi.Kingine kama wewe utakuja kuwekeza maana kwamba utakuwa...
  9. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta muwezeshaji kwenye kazi yetu ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    Ni sawa mkuu nimekuelewa.
  10. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta muwezeshaji kwenye kazi yetu ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    Hayo ni makubaliano endapo tutakaa meza Moja na kukubaliana mkuu.Hatuwezi kushindana maana tunachokitaka ni kufanikisha kazi.
  11. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta muwezeshaji kwenye kazi yetu ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    Service Kuna mafundi mgodi wa msasa tunapeleka hapo.
  12. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Tunatafuta muwezeshaji kwenye kazi yetu ya uchimbaji wa madini ya dhahabu

    Wakuu salaam, Husika na kichwa cha habari hapo juu,sisi ni wachimbaji wadogo tunaopatika hapa kata ya runzewe Kijiji cha burumbaga mkoa wa Geita. Tulianza kazi hii ya utafiti tukiwa watu wanne na hadi sasa tumefika watu nane,katika kuanza tulianza tukiwa na mtaji kidogo sana wa kuendesha kazi...
  13. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Salaam kwa wadau wa jukwaa la kilimo

    Habari ndugu zangu,napenda kuwaeleza kile kilichotokea Hadi kuto kupatikana hapa jukwaani. Nilipotea hapa jukwaani kwa muda mrefu baada ya kutoa post yangu iliyo zungumzia shuhuda ya safari yangu ya kuelekea kule katavi kwa shughuli ya kilimo. Tangu wakati huo zilijitokeza changamoto nyingi...
  14. Jifunafu

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Maharage: Mbinu za kulima, Ushauri na Masoko yake

    Wakuu salaam, Natumaini mapambano yanaendelea. Ninaomba kuelimishwa mambo yafuatayo katika kilimo cha maharage msimu huu. 1.Jinsi ya kupanda kwenye matuta au Sesa 2.Busta nzuri inayofanya vizuri kwenye maharage,hapa naomba mwenye kujua zaidi kuhusu hizi busta ambazo zinafanya vizuri maana hapa...
Back
Top Bottom