Wadau,ni kwamba tunatafuta mtu wa kushirikiana nae katika uchimbaji wa dhahabu,maana yake ni kwamba,tumefikia hatua tumeishiwa lasilimali fedha,kwaiyo tunatafuta mtu atakae kuwa tayari kutuunga mkono ili tufike kwenye uzarishaji.
Atakae wiwa kushirikiana na sisi anakaribishwa kutembelea site na...
2. Mgawanyo wa Hisa utakuwa kulingana na kile ulichowekeza mkuu,hivyo siwezi kusema Moja kwa moja kwamba utapata hisa ngapi,hayo ni makubaliano kati yetu sisi na wewe muwekezaji.Pia maandishi yatakuwepo ikitokea unataka hivyo.
3.Taarifa za sample zipo,ila siwezi kutoa Moja kwa Moja ni jambo la...
2. Mgawanyo wa Hisa utakuwa kulingana na kile ulichowekeza mkuu,hivyo siwezi kusema Moja kwa moja kwamba utapata hisa ngapi,hayo ni makubaliano kati yetu sisi na wewe muwekezaji.Pia maandishi yatakuwepo ikitokea unataka hivyo.
3.Taarifa za sample zipo,ila siwezi kutoa Moja kwa Moja ni jambo la...
Mkuu asante kwa maswali Yako.
1.Leseni baada kufatilia tulibaini Ina mtu lakini hatujataka kumtafuta kwa maana kwamba Sisi ndio wenye shamba kwaiyo ikitokea duara imefika ni lazima atajitokeza na tutakaa meza Moja na kufanya kazi pamoja endapo hatakuwa mtu wa tamaa
Karibu
Asante kwa swali lako mkuu,katika uchimbaji kunapokuwa na vitendea kazi ni jambo zuri.Generator inaendesha pump, blower na Jake hama in case vinapo itajika hivyo kuwepo kwa vifaa hivyo sio jambo baya mkuu ni sehemu ya kuimalisha ofisi.Kingine kama wewe utakuja kuwekeza maana kwamba utakuwa...
Wakuu salaam,
Husika na kichwa cha habari hapo juu,sisi ni wachimbaji wadogo tunaopatika hapa kata ya runzewe Kijiji cha burumbaga mkoa wa Geita.
Tulianza kazi hii ya utafiti tukiwa watu wanne na hadi sasa tumefika watu nane,katika kuanza tulianza tukiwa na mtaji kidogo sana wa kuendesha kazi...
Habari ndugu zangu,napenda kuwaeleza kile kilichotokea Hadi kuto kupatikana hapa jukwaani.
Nilipotea hapa jukwaani kwa muda mrefu baada ya kutoa post yangu iliyo zungumzia shuhuda ya safari yangu ya kuelekea kule katavi kwa shughuli ya kilimo. Tangu wakati huo zilijitokeza changamoto nyingi...
Wakuu salaam,
Natumaini mapambano yanaendelea.
Ninaomba kuelimishwa mambo yafuatayo katika kilimo cha maharage msimu huu.
1.Jinsi ya kupanda kwenye matuta au Sesa
2.Busta nzuri inayofanya vizuri kwenye maharage,hapa naomba mwenye kujua zaidi kuhusu hizi busta ambazo zinafanya vizuri maana hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.