Nimeweka kwangu ila Sasa situmii sio kwamba haujai ila majimaji yanapotelea ardhini ,changamoto IPO wakati wa mvua ardhi inakuwa na maji maji hivyo kama huna chemba za kutosha tegemea harufu, vitu vigumu kama vitambaa,baby wipes au peds ni hatari hivyo lazima uweke mazingira ya kuvipokea ila sio...
Mkuu mtafute Dr Boaz mkumbo Instagram soma mafundisho yake google elsewhere ufanye kifupi uchawi ni wanga na sukari nilikuwa na kg 138 now Nina 72 nikiwa poa
Upuuzi tu sijaona sehemu Musiba ameomba radhi Nini kuhangaika viongizi wa dini Kuna wakati wanatakiwa kuacha unafki Musiba anatukana wako kimya Tena wanasifia tu,Musiba anaombwa aombe radhi wao kimya ,Musiba amepelekwa mahakamani kimya,mahakama inatoa hukumu kimya Membe anataka kukaza hukumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.