Watanzania mmelogwa! Hii wala sio maada ya kupoteza muda wenu. Tuliobaki tusubilie vifo vyetu wala hatujui vitakuja kwa namna gani. R.I.P Mchungaji Mtikala, hiyo ni safari ya wote na kila mmoja atatoka kwa njia na utaratibu wake aliowekewa na Mungu.
Wana JF, mimi binafisi napingana na prof. Kitila Mkumbo kwa hili. Isipokuwa kielimu nakili kuwa ni mzuri sana. Nasema hivi kwa sababu ni mwalimu wangu, nanilikuwa namuelewa vizuri sana wakati ananifundisha somo (course) ya adolescent Age na mpaka saa hii mojawapo wa mchango wake wa elimu...
Wana JF, mimi binafisi napingana na prof. Kitila Mkumbo kwa hili. Isipokuwa kielimu nakili kuwa ni mzuri sana. Nasema hivi kwa sababu ni mwalimu wangu, nanilikuwa namuelewa vizuri sana wakati ananifundisha somo (course) ya adolescent Age na mpaka saa hii mojawapo wa mchango wake wa elimu...
Natoa pongezi sana kwako mkuu.
Nimekuelewa vizuri sana na hii ni kwa sababu ninavi elements za hesabu kwa mbali. Hofu yangu ni kuwa hawa magamba walishazoea kuchakachua. Kwa malezo na ufafanuzi wako mpaka sasa rasimu imekwama.
Lakini hofu yangu nahii ninafikiri ni kwa sababu sijuii vizuri...
Watasema hivyo kweli kwa sababu ni wadini. Katika CDM, mtu huchaguliwa kwa kuomba uongozi. Ningumu sana kuchagua watu ambao hawakuomba uongozi eti kuwa ni waislamu tu. Pia wakumbuke kwamba ukiongelea ukristu na uislam kwa wasukuma utakuwa unapoteza muda wako. Wasukuma wengi wanaitwa majina ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.