Recent content by JFmember

  1. J

    Veta Hotel and Tourism Training Institute na Ministry of Agriculture Training Instiute Ilonga, Kilosa

    Ahsanteni wakuu, cha Ilonga kilosa nishafanikiwa, bado hicho cha Veta Arusha
  2. J

    Veta Hotel and Tourism Training Institute na Ministry of Agriculture Training Instiute Ilonga, Kilosa

    Mkuu ahsante, ila nimeenda huko, nimeenda website ya nacte na ya veta lakin sijafanikiwa kupata nilichokihitaji, kama unaweza nisaidie hata link niifuate
  3. J

    Veta Hotel and Tourism Training Institute na Ministry of Agriculture Training Instiute Ilonga, Kilosa

    Habari wakuu, Naomba Kuuliza kwa yeyote anayefahamu au mwenye mawasiliano na vyuo tajwa hapo juu. Maana kuna mtu nataka ni mfadhili kwenda kusoma moja ya chuo hicho kwenye fani ya Ordinary Diploma in Culinary Arts (food Production) au Ordinary Diploma in Food Technology and Human Nutrition...
  4. J

    Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Huo ndo mpango wangu, nataka nifanye hvyo na kwa mke wangu, lakini huyu sitamwacha ili aendelee kunikomaza zaid!
  5. J

    Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Ikiwezekana ntaweka mrejesho hapa, ila kwa sasa tupo mbali, hadi nichukue likizo
  6. J

    Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Mke wangu nampenda sana na kumheshimu sana ndio mana nasita kuweka mambo yake hapa, maana ameweza kunivumilia kipindi chote hicho
  7. J

    Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Mke wangu alikuwa mjamzito, alienda kwao kujifungua na sasa anamtoto mchanga, bado hatujapata mazingira mazuri ya kufanya kwa maana bado yupo kwao, (mkoani)
  8. J

    Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Madhara utapata kutokana na wewe utakavyojichukulia
  9. J

    Shuhuda za namna watu walivyopona tatizo la upungufu wa nguvu za kiume

    Naomba nianze kwa kujitambulisha, Mimi ni kijana mwenye umri zaidi ya miaka 30, fani yangu ni Udaktari. Nimetanguliza hayo ili mnielewe vizuri nitakachoelezea hapa maana ni kitu kilichonisumbua na kukifatilia kwa mda mrefu sana, nitajitahidi kuelezea kwa kifupi kadri niwezavyo. Kama kawaida...
Back
Top Bottom