Hizo ni conspiracy theory tu. Unajua ni lini hiyo mito ilibadilishwa majina ili iendane na majina ya kibiblia? Palipokuwa na Eden mito yake haiwezi kukauka.
Unaijua vizuri ramani ya Tanzania? Unajua mito mikubwa ndani yake ilivyokaa? Unajua majina ya hiyo mito ya Iraq yalibadilishwa mwaka gani ili kuendana na majina ya mito ya Eden yaliyoandikwa kwenye Bible?
Kuna kitu hakikosawa kwenye maelezo yako. Ni kama ulishindwa kumwelewa Askofu. Yeye kaongelea teolojia ya kifo wewe unaongelea korona. Kwa kifupi umemlisha maneno
Hapo aombe tu Boloy afie gerezani vinginevyo huo ni uadui tayari. Haujalishi yuko na mke au wameachana. Mr Boloy atalipiza kisasi cha kumfunga jela miaka saba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.