Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,642
- 13,051
Mbona wajifanya headless chicken? Wapi na nani kasema ishu ya kuji lockdown? So wew ukiambiwa uchukue tahadhali unawaza kujilockdown? Watu wengine sijui huwa mnafikiri kwa kutumia kiungo gani...Mnavyopiga kelele mtasema huwa hamuendi makazini shubamiti zenu! Huna ata uweze wakujilockdown lakini unashadadia kama hela yakuishi ata mwezi unayo..!!
Sent using Jamii Forums mobile app