Habari!
Naomba kusaidiwa kwa mwenye uelewa,hivi hii interview ya computer practical inakuwaje? Na pia natakiwa kujua mambo gani kabla ya kuingia kwenye interview ya computer practical?
Wanajamvi;
kwa yeyote mwenye kufahamu naomba anisaidie kunipata taarifa au nini nifanye ili kuweza kujiandika nami nipate kitambulisho cha taifa.maana sikujiandikisha hapo kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.