Kaka jana nimesema "mjinga muache na ujinga wake ukibishana nae unakuwa mjinga" wengine hapa kodi gani inalipwa hawajui wewe piga hatua na tra wasikuzingue sasa tuntumia sheria yao wenyewe kuwakomoa
Mashine zenyewe za efd siku 3 sasa zinasumbua network hata z report hazitoi....waambie hao watu wa tra wakuonyeshe sheria ya hotel na huduma inayosema utoe risiti kabla mteja hajafanya chekout...wakikutisha wanaandika faini waambie sawa andikeni halafu hakuna kulipa
Kaka umesema ukweli hapo hao tra walikuja kwetu wakajua watakula hela nikawafuata hapo gerezani nikawafyatua wakatulia wenyewe ...eti wasema mteja akilala mpe risiti hata kama hajalipa na kama akicancel kulala zaidi ya siku moja basi uandike barua kwao ....pambaaf
Mabasi za mwendokasi muda huu walifungiwa geti na wananchi wenye hasira kali baada ya kusubiria mabasi za mwendokasi kwa zaidi ya lisaa....wananchi waliimba "Tunamtaka Makonda" polisi waliishia kuangalia tu mabasi za mwendokasi zimezuiwa nje ya geti
Hiyo kitambi umepata ndani ya wiki 3?kwa hivo kuondoka pia itachukua muda na wewe mazoezi hayo kama unaita makali basi pole sana mtu wa mazoezi hunywa lita 4-5 ya maji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.