Recent content by jeune

  1. J

    Msaada: Kutoka kwa wanasaikolojia wa mapenzi

    Eilimu yako haijakusaidia kabisa
  2. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njooo kaliua tabora nije bukoba
  3. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hiv jamn kibal cha uhamisho unaomba mwenyewe au unaombewa na katibu tawala?
  4. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoooo tabora kariua idara ya msing au sekondali
  5. J

    Kuna ubaya gani kumpa zawadi hii?

    Kaka umefikiria sana n unamapenz ya dhati. Nakushauri mpe muda ipo siku atakuelewa tu. Usikate tamaaa. Mimi ni degree holder na nimeajiriwa lkn sasa najifunza cherehan japo kuna watu wananidharau. Ila mi nawangalia tu
  6. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Naomba kujua tarehe ya mwisho tamisemi ya kkupokea maombi ya barua za uhamisho ni lin.
  7. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo kaliua tabora idara msingi nije mikoa ya kanda ya ziwa
  8. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njooo kaliua tabora idara sekondar mwl aje pwani. Tanga. au Dodoma
  9. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoooo kaliua tabora nije huko uliko idara sekondar
  10. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njooo tabora jiran na mbeya
  11. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Hapo pangan wana utaratibu gan? Nimempata mtu wa kubadilishana nae ni ajira ya mwaka huuu. Wanamwambia hadi miaka 3ipite
  12. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njooo kaliua tabora idara sec mi nije mikoa ya Tanga, pwani na morogoro
  13. J

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njooo kaliua tabora idara sec nije bukoba mjin au kijijin
Back
Top Bottom