Recent content by jesto

  1. J

    Umri wa kustaafu kwa lazima kwa sheria zetu Tanzania: tusaidiane!!

    Watu wanastafu serikarini ila prvt hata ukiwa na miaka 100 hapa kaz tu
  2. J

    Kibiti, Pwani: Majambazi yaua Askari Polisi NANE(8)

    Hiiii kitu inaashiria nini wapendwa maaana kwa hesabu chache hao wanafika ka watu kymi na tano kuuawa kwa risasi wilyani humo .Ombi serikali ifanye uchinguzi ili kubaini ka ni magaid wanatokea wapi na kwanini wanafanya ugaindi eneo hilo tu
  3. J

    Siku za kujifungua zimepitiliza, msaada.

    Operation inahitajika kwa mke wako by a midwife
  4. J

    Mwenyekiti wangu, Mfukuze Nape Uanachama Mara Moja

    Kwani Nape kakosea wapi?Tatizo la tz mtu akisema ukweli mbaya acha atoe ukweli na huo ndo ukweli ambao tunauamini wengi na kama nyie mnaukweli tofauti na wa Nape si mtoke hadharani mtwambie
  5. J

    Natafuta kazi ya uuguzi

    Elimu yangu ngazi ya cheti (certificate in nursing and midwife) weza wasiliana nami 0655074345 Email :jestofrancis@yahoo.com Niko tayari kiufanya kazi hospitali yoyote
  6. J

    Mchumba hataki kusex anataka kulipa mahari

    Akikwambia toa mahari nawe mwambie akatoe mahari kwenu
  7. J

    Uchambuzi Wa Habari: Nape Hakwenda Na Midundo, Ilikuwa Lazima Aondoke..

    Hii ndo kura yenu watanzania najuta ila 2020 coming soon
Back
Top Bottom