Recent content by jessy33

  1. J

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu mbioni kutoa kitabu

    Thamani ya Kitabu cha Lissu hata ikiwa zaidi kwa ya $2,000 kitapata soko kubwa duniani maana ni zaidi ya vivutio tulivyobarikiwa Tanzania. Ni cha muhimu pia kwa vizazi vyetu. Yule mtoto alijibu kwenye mtihani wake wa National Kati ya hazing Tatu za Tanzania mojawapo alijibu Tundu Lissu... Na...
  2. J

    JamiiForums Tanzania BoT wajitafakari kabla ya kuwatuhumu Bloomberg

    Ametumia lugha nyepesi na laini sana kuelezea, kwa kifupi anaeleweka hata layman mwenye kuushughulisha ubongo wake kufikiri atamuelewa kuliko like bandiko la BoT
  3. J

    JamiiForums Tanzania Licha ya sekeseke, Adam Malima kapewa ukuu wa mkoa. Nape ana mengi ya kujifunza, bado hajakomaa kisiasa

    Ndio maana huyu anaitwa Nape na mwingine Adam Malima... Wote tukiwa mawaziri bila shaka makatibu wakuu wasingelikuwepo...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Maoni ya Viongozi mbalimbali wa Upinzani kufuatia Uteuzi Uliofanywa na Rais Magufuli leo 26/10

    Picha inayoendelea kusomeka no kuwa Munyamulenge baba J anabip machafuko...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa wote wanaohitaji mikopo mbalimbali ya kifedha

    heshima yenu great thinker, nahitaji kufahamu taasisi/mwenye mapenzi mema ambayo inatoa mkopo kwa masharti nafuu ... nahitaji capital $500 ya haraka ambayo nitarejesha ndani ya mwezi mmoja. Natanguliza Shukrani kwako muungwana utakayeguswa na kuniongoza kupata hitaji langu na Mungu akubariki...
Back
Top Bottom